Ghadir katika Hadithi
Mwanazuoni mmoja mkuu wa Lebanon alisema Tukio la Ghadir limeangaziwa katika vyanzo vya Hadith katika Tawatur iliyoripotiwa kwa wingi na wasimuliaji tofauti na kupitia misururu mbalimbali ya upokezi.
Habari ID: 3479033 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/06/30
WASHINGTON, DC (IQNA) - Wanafunzi wa Kansas walipata msukumo katika hadithi za wanawake wa Kiislamu kwenye Chuo Kikuu cha Jimbo la Wichita wiki iliyopita.
Habari ID: 3477712 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/10/11
Ifahamu Qur'ani Tukufu/ 9
Qur'ani Tukufu Inatambulisha Surati Yusuf kama hadithi bora ambayo inatilia maanani sifa za mwongozo za hadithi , hii Hadithi inatuongoza kwenye ufahamu bora wa Qur'an Tukufu.
Habari ID: 3477189 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/06/25
TEHRAN (IQNA) – Sheikh Nuruddin Attar, mfasiri na hafidh maarufu wa Qur’ani Tukufu nchini Syria ameaga dunia akiwa na umri wa miaka 83.
Habari ID: 3473199 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/24
Mtume Muhammad SAW amesema: Waislamu wote ni ndugu na hakuna aliye bora zaidi ya mwingine ila katika Taqwa (Ucha Mungu). Kanz al-Ummal, Jildi 1, Uk 149. Nahjul Fasaha 3112
Habari ID: 3472209 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/11/11
Mtume Muhammad SAW amesema: Umoja ni chanzo cha rehema na mifarakano inasababisha adhabu. Kanz al Ummal Hadithi ya 20242
Habari ID: 3472027 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/07/01
Mtume Muhammad SAW anasema: “Pambeni idi zenu kwa (kutamka) Allahu Akbar. (Kanz al Ummal: Hadithi 24094)
Habari ID: 3471984 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/06/04
Imam Ali AS alisema: Pepo inapatikana kwa amali na wala si kwa kutamani. Ghurar Al-Hikam Wa Durar Al-Kalim Uk.350 Hadithi ya 4355
Habari ID: 3471437 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/03/21
TEHRAN (IQNA)-Chuo Kikuu cha Kiislamu cha Syarif Hidayatullah mjini Jakarta, Indonesia kimepanga kuandaa kongamano la kimataifa la Qur’ani na Hadithi baadaye mwaka huu.
Habari ID: 3471127 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/08/17
Habari ID: 3471014 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/06/10
IQNA: Kongamano la Pili la Kimataifa la "Elimu ya Kiislamu na Utafiti wa Qur'ani na Hadithi za Mtume SAW" limepangwa kufanyika mjini Mataram, Indonesia Machi 2017.
Habari ID: 3470762 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/12/26