Kususia Israel
IQNA - Mtaalamu wa masuala ya kiuchumi amesema kuususia kiuchumi utawala wa Kizayuni wa Israel kunaweza kuwa mkakati "mwenye ufanisi zaidi" wa kukabiliana na utawala huo kwa muda mrefu.
Habari ID: 3479572 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/11
Watetezi wa Qur'ani Tukufu
QATAR (IQNA) -Supamaketi kubwa nchini Qatar imeondoa bidhaa zote za Uswidi kwenye rafu zake - na kutoa msimamo wa kulaani kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu katika nchi hiyo ya Skandinavia, kwa mujibu wa ripoti za vyombo vya habari vya ndani.
Habari ID: 3477340 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/07/25
TEHRAN (IQNA)- Jumuiya kubwa zaidi ya wafanyakazi Norway imetangaza kususia bidhaa za utawala wa Kizayuni wa Israel kulalamikia ukandamizaji unaofanya na utawala huo dhidi ya Wapalestina.
Habari ID: 3470978 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/05/13