iqna

IQNA

TEHRAN (IQNA)-Madrassah za jadi za kufunza Qur'ani nchini Eritrea zinaendelea kufunza Qur'ani kwa mbinu za kale huku zikizidi kuenea katika nchi hiyo ya kaskazini mashariki mwa Afrika.
Habari ID: 3470984    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/05/18