iqna

IQNA

Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) - Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ndiyo mashindano ya kimataifa ya Qur'ani yanayoaminika na yenye itibari zaidi duniani, afisa mmoja alisema.
Habari ID: 3475380    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/15

Ibada ya Hija
TEHRAN (IQNA)-Kundi la kwanza la Waislamu wa Iran wanaokwenda kutekeleza ibada tukufu ya Hija limeondoka Tehran leo asubuhi kwenda katika mji mtukufu wa Madina nchini Saudi Arabia.
Habari ID: 3475368    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/12

Kiongozi Muadhamu katika mkutano na Rais Maduro wa Venezuela
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema uzoefu wenye mafanikio wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Venezuela katika kupambana na vikwazo vya Marekani umedhihirisha wazi kuwa, mapambano au muqawama ndio njia pekee ya kuzima mashinikizo ya namna hiyo.
Habari ID: 3475366    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/12

Kadhia ya Nyuklia
TEHRAN (IQNA)- Rafael Grossi, Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki IAEA jana Jumanne alifanyiwa mahojiano makao makuu ya wakala huo mjini Vienna; na moja ya masuali aliyoulizwa ni kuhusu takwa la Iran la kumtaka alaani hujuma zilizofanywa dhidi ya vituo vyake vya nyuklia.
Habari ID: 3475356    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/09

Spika wa Bunge la Iran katika Kongamano la Kimataifa la Wanaharakati wa Umahdi
TEHRAN (IQNA)- Spika wa Bunge la Iran amesema chimbuko la Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran ni fikra za Imam Mahdi, Mwenyezi Mungu Aharikishe Kudhihiri Kwake, na Ashura.
Habari ID: 3475346    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/07

TEHRAN (IQNA)- Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imemuita balozi wa India mjini Tehran kulalamikia vikali matamshi dhidi ya Mtume Mutukufu wa Uislamu, Muhammad SAW ambayo yalitolewa katika mdahalo wa televisheni huko India na kuibua hasira miongoni mwa Waislamu duniani.
Habari ID: 3475340    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/06

Fikra za Imam Khoemini
TEHRAN (IQNA)- Rais Ibrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Ijumaa usiku alihutubu katika hafla ya mkesha wa mwaka wa 33 tokea alipoaga dunia Imam Khomeini (MA) muasisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran iliyofanyika katika Haram Takatifu ya mtukufu huyo na kusema: "Mapambano dhidi ya uistikbari na udhalimu ni kati ya maudhui asili za Fikra za Imam Khomeini MA."
Habari ID: 3475333    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/04

Umoja wa Kiislamu
TEHRAN (IQNA) – Mkuu wa Shirika la Iran la Utamaduni na Uhusiano wa Kiislamu (ICRO) amesema ustaarabu mpya wa Kiislamu unaweza kupatikana tu kupitia umoja wa Waislamu.
Habari ID: 3475302    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/27

Umoja wa Kiislamu
TEHRAN (IQNA) – Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Kukurubisha Madhehebu za Kiislamu (WFPIST) amesemakuanzisha umoja wa nchi za Kiislamu ni jambo linalowezekana
Habari ID: 3475301    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/27

Kiongozi Muadhamu na Masuala ya Kimataifa
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amebainisha sababu za hali maalumu duniani sasa na kusema kusema katika hali ya sasa ya dunia, uendeshaji mambo umekuwa mgumu kwa nchi zote.
Habari ID: 3475295    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/25

Makamu wa Rais wa Iran
TEHRAN (IQNA)- Makamu wa Kwanza wa Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na inaipa kipaumbele sera za kuimarisha uhusiano na nchi za bara Afrika.
Habari ID: 3475272    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/20

Hija
TEHRAN (IQNA)- Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imesema inafanya mazungumzo na Saudi Arabia kuhusu kuruhusiwa kutekeleza ibada ya Hija Wa iran i waliopata chanjo iliyotegenezwa ndani ya Iran.
Habari ID: 3475265    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/19

TEHRAN (IQNA)- Rais Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amekutana na maulamaa na wanazuoni wa Ahul Sunna wal Jamaa nchini Iran na kusisitiza kuwa umoja wa Shia na Sunni ni suala la kimkakati huku akitilia mkazo umuhimu wa kuzuia kujipenyeza wakufurishaji nchini.
Habari ID: 3475255    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/15

Khatibu wa Sala ya Ijumaa Tehran
TEHRAN (IQNA)- Khatibu wa Sala ya Ijumaa iliyosaliwa leo hapa mjini Tehran amesema kuwa, safari za hivi karibuni ya Rais Bashar al-Assad wa Syria na Amir wa Qatar Sheikh Tamim bin Hamad Al-Thani nchini Iran zilikuwa za kimkakati na muhimu.
Habari ID: 3475244    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/13

Kiongozi Muadhamu katika mkutano na Amir wa Qatar
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema dhulma ya miongo kadhaa ya utawala khabithi wa Kizayuni dhidi ya watu wa Palestina ni ukweli mchungu wa historia na pigo kwa ulimwengu wa Kiislamu na Kiarabu na kuongeza kuwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inataraji kwamba ulimwengu wa Kiarabu utaingia wazi wazi katika medani ya kisiasa kukabiliana na jinai hizo.
Habari ID: 3475243    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/13

Kiongozi Muadhamu katika mkutano Rais Bashar al Assad wa Syria na ujumbe alioandamana nao
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa, kusimama kidete taifa na serikali ya Syria na kuibuka mshindi katika vita vikubwa vya kimataifa kumeandaa mazingira ya kupata hadhi na kuheshimika zaidi nchi hiyo duniani.
Habari ID: 3475224    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/08

TEHRAN (IQNA)- Ndege ya kwanza itakayokuwa imewabeba watu wa Iran wanaokusudia kutekeleza ibada ya Hija mwaka huu itaondoka Tehran kuelekea Saudia mnamo Juni 13.
Habari ID: 3475214    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/06

Khatibu wa Sala ya Ijumaa ya Tehran
TEHRAN (IQNA)- Khatibu wa Sala ya Ijumaa ya Tehran amesema, utawala wa Kizayuni wa Israel umezingirwa na wanamapambano wa Kiislamu walioko Palestina, Lebanon, Iraq na Yemen.
Habari ID: 3475212    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/06

SHIRAZ (IQNA)- Tarehe 15 Ordibehesht mwaka wa Hijria Shamsiya sawa na 5 Mei huadhimishwa kama Siku ya Kitaifa ya Mji wa Shiraz. Huu ni mji ulio kusini maghairbi mwa Iran na una maeneo mengi ya kihistoria, kiutamaduni na kimaumbile na hivyo ni kati ya maeneo yenye mandhari ya kuvutia nchini Iran hasa katika simu wa machipuo.
Habari ID: 3475211    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/06

Maelfu ya Waislamu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran jana Jumanne walishiriki katika Sala ya Idul Fitr baada ya kukamilisha mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3475204    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/04