iqna

IQNA

Harakati za Qur'ani Kimataifa
TEHRAN (IQNA) - Balozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran nchini Malaysia amesema nchi hizo mbili zinatarajia kuendelea kutumia 'Diplomasia ya Qur'ani Tukufu' kwa ajili ya kuimarisha uhusiano wa pande hizo mbili.
Habari ID: 3476435    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/20

Jinai za utawala haramu wa Israel
TEHRAN (IQNA)- Januari 19 inatambuliwa katika kalenda ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kuwa ni "Siku ya Ghaza" kwa mnasaba wa kumbukumbu ya vita vya siku 22 vya utawala haramu wa Israel dhidi ya Ukanda wa Ghaza (Gaza) huko Palestina.
Habari ID: 3476430    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/19

Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) - Jopo la waamuzi wa Mashindano ya 45 ya Kitaifa ya Qur'ani Tukufu ya Iran limetangaza majina ya washindi katika sehemu ya wanaume na wanawake ya mashindano hayo.
Habari ID: 3476428    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/19

Ulinganiaji
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Seyed Ali Khamenei ameitaja mipango ya kuendeleza bidhaa za kitamaduni kwa kuzingatia fikra mpya na ufahamu wa matakwa ya kijamii na kiutamaduni kama jukumu muhimu la mashirika ya kitamaduni nchini Iran.
Habari ID: 3476426    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/18

Mashindano ya Qur'ani Tukufu
TEHRAN (IQNA) - Mchakato wa tathmini katika duru ya mchujo ya Mashindano ya 39 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Iran ilihitimishwa Jumanne.
Habari ID: 3476425    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/18

Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) - Washindani wanaendelea kuonyesha vipaji vyao katika duru ya mwisho ya toleo la 45 la Mashindano ya Kitaifa ya Qur'ani Tukufu ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
Habari ID: 3476402    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/14

Ibada ya Hija
TEHRAN (IQNA) - Mwakilishi wa Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu katika Masuala ya Hija na Ziara za Kidini amesema Wa iran i 85,000 wanatazamiwa kutekeleza ibada ya Hija mwaka huu kufuatia mapatano na Saudi Arabia.
Habari ID: 3476397    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/13

Khatibu wa Sala ya Ijumaa Tehran
TEHRAN (IQNA)- Khatibu wa Sala ya Ijumaa mjini Tehran, ameashiria hatua ya jarida moja la Ufaransa kumvunjia heshima Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu na kusema: Maadui wanataka kuzima nuru ya Uislamu lakini kwa neema ya Mwenyezi Mungu na nuru hii haiwezi kuzimwa kwa na ni wazi kuwa mzizi wa matusi haya ni uadui dhidi ya Uislamu.
Habari ID: 3476396    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/13

Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) - Kamati ya maandalizi ya Mashindano ya 39 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Iran imetangaza majina ya wataalamu wa Qur'ani watakaohudumu katika majopo ya majaji wa mashindano hayo.
Habari ID: 3476380    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/10

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ameyataja matukio ya mabadiliko ya historia kuwa yana uzoefu mkubwa wa kujifunza au yanaashiria sunna ya Mwenyezi Mungu.
Habari ID: 3476379    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/09

Iran na Mauritani
TEHRAN (IQNA)- Rais Mohamed Ould Ghazouani wa Mauritania amepongeza misimamo thabiti na ya kimsingi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kuhusiana na masuala ya Ulimwengu wa Kiislamu.
Habari ID: 3476374    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/08

Umoja wa Kiislamu
TEHRAN (IQNA) - Ujumbe wa Maulamaa wa Kisunni wa Iran umekutana na kufanya mazungumzo na Mufti wa Tanzania Jumanne.
Habari ID: 3476324    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/29

Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) - Iran itashiriki katika mashindano yajayo ya kimataifa ya Qur'ani nchini Jordan na wawakilishi wawili.
Habari ID: 3476306    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/26

Uislamu na Ukristo
Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amewatumia ujumbe wa kheri Wakristo wa Iran na duniani kwa ujumla wakati huu wanapoadhimisha sherehe zao za Krismasi.
Habari ID: 3476304    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/25

Mashindano ya Qur'ani ya Iran
TEHRAN (IQNA)- Finali za Mashindano ya 38 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu Iran zitaanza katika mji mkuu wa Iran, Tehran, mnamo Februari 18, 2023.
Habari ID: 3476285    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/22

Sera za Kigeni za Iran
TEHRAN (IQNA)- Iran imewawekea vikwazo makumi ya maafisa na mashirika ya Umoja wa Ulaya (EU) na Uingereza kutokana na uungaji mkono wao na kuchochea ghasia mbaya za hivi karibuni nchini. Waliowekewa vikwazo wamekuwa wakitoa matamshi yao ya uingiliaji mambo ya ndani ya Jamhuri ya Kiislamu na pia wamekuwa wakiunga mkono uungaji nchini Iran.
Habari ID: 3476240    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/12

Maonyesho ya Qur'ani Tukufu
TEHRAN (IQNA) - Sekretarieti ya Maonyesho ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Tehran imesema iko tayari kupokea mawazo na mapendekezo mapya kwa ajili ya kuandaa vyema tukio la kimataifa.
Habari ID: 3476231    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/11

Umoja wa Waislamu
TEHRAN (IQNA)- Kongamano la 18 la kimataifa linalofanyika kwa anuani ya "Uislamu, Uadilifu na Mlingano, Misingi ya Dini na Nidhamu ya Ulimwengu" umeanza rasmi katika mji mkuu wa Russia, Moscow na kufunguliwa kwa salamu za Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
Habari ID: 3476223    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/09

Rais wa Iran
TEHRAN (IQNA)-Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameitaja Siku ya Mwanachuo kuwa ni nembo ya kumtambua adui, kukabiliana naye, kuwa makini na kuwajibika wanafunzi wa vyuo vikuu.
Habari ID: 3476214    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/07

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ambaye pia ni Amiri Jeshi wa Vikosi Vyote vya Ulinzi vya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametilia mkazo kubadilishwa kuwa utamaduni wa watu wote nchini utumiaji uwezo na fursa adhimu za bahari zilizopo.
Habari ID: 3476166    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/29