iqna

IQNA

Mashindano ya Qur'ani Iran
TEHRAN (IQNA) - Mialiko imetumwa kwa zaidi ya nchi 120 kwa ajili ya kushiriki katika toleo lijalo la Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Iran, afisa mmoja alisema.
Habari ID: 3475981    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/24

Chuki dhidi ya Uislamu
TEHRAN (IQNA)- Waziri wa Utamaduni na Mwongozo wa Kiislamu wa Iran amesema, vyombo vya habari vyenye uadui vinapindua ukweli na kuandaa habari bandia ili kujaribu kutoa taswira isiyo sahihi kuhusu Iran ya Kiislamu na Ulimwengu wa Kiislamu.
Habari ID: 3475977    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/23

Iran na Ustawi
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa, maendeleo ya miaka 40 ya nchi yanadhihirisha usahihi wa uchambuzi wa Mapinduzi ya Kiislamu kuhusu dunia mkabala wa uchambuzi wa watu wenye fikra na mielekeo ya Kimagharibi.
Habari ID: 3475956    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/20

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa, mfumo wa Jamhuri ya Kiislamu hautasalimu amri mbele ya madola yenye nguvu na kusisitiza kuwa: Jamhuri ya Kiislamu hivi sasa imekuwa mti imara uliostawi ambao ni muhali hata kufirikia kwamba unaweza kung'olewa.
Habari ID: 3475926    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/14

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ametaja ghasia na machafuko yaliyoenea katika maeneo mbalimbali hapa nchini kuwa ni mpango usio wa kawaida na wa fedheha wa adui mkabala wa maendeleo na harakati za ubunifu na kubwa za taifa la Iran na kwamba njia ya kukabiliana na maadui ni kusimama imara.
Habari ID: 3475921    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/12

Wiki ya Umoja wa Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran (Bunge) amesema kuwa siri ya ushindi wa nchi hii katika sekta mbalimbali ni kuwepo umoja baina ya Masuni na Mashia na kusisitiza kuwa, Waislamu wa Kisuni na pia wa Kishia waliifanya Iran kuwa imara zaidi na yenye nguvu wakati wa kujihami kutakatifu na katika matukio ya ndani kupitia umoja na dhamira yao thabiti.
Habari ID: 3475904    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/09

Umoja wa Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kongamano la 36 la Kimataifa la Umoja wa Kiislamu litafanyika mjini Tehran kuanzia tarehe 17 hadi 22 Oktoba kwa kuhudhuriwa na wasomi na wanafikra kutoka sehemu mbalimbali za dunia.
Habari ID: 3475898    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/08

Khatibu wa Sala ya Ijumaa
TEHRAN (IQNA)- Khatibu wa Sala ya Ijumaa ya mjini Tehran amesisitiza kuwa: Uimwengu wa Ubeberu, Ulimwengu wa Uistikbari, Marekani, Uzayuni na kambi Ukufurushaji, zinapigana vita dhidi ya na haki na uadilifu visivyosuluhishika.
Habari ID: 3475892    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/07

Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA)- Hafla ya kufunga Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani ya Uturuki ilifanyika Jumatano usiku katika mji mkuu wa nchi hiyo, Ankara.
Habari ID: 3475887    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/06

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza katika hafla ya pamoja ya wanachuo wahitimu wa Vyuo Vikuu vya vikosi vya ulinzi nchini Iran kwamba ghasia na machafuko yaliyoshuhudiwa hivi karibuni hapa nchini yaliratibiwa na Marekani na utawala ghasibu na bandia wa Kizayuni na kusaidiwa kwa hali na mali na mabwana zao na baadhi ya wasaliti raia wa Iran wanaoishi nje ya nchi.
Habari ID: 3475872    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/03

Harakati ya Hizbullah
TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema Jamhuri ya Kiislamu ya Iran hivi sasa ina nguvu na uthabiti kuliko wakati wowote ule, na kwamba taifa hili litavuka salama mtihani wa sasa kutokana na hekima ya viongozi wake.
Habari ID: 3475867    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/02

Njama dhidi ya Iran
TEHRAN (IQNA)- Wizara ya Usalama ya Iran imesema Marekani na Uingereza zilichochea ghasia zilizoshuhudiwa hivi karibuni kote Iran.
Habari ID: 3475864    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/01

Chuki dhidi ya Uislamu
TEHRAN (IQNA) - Mwanadiplomasia wa Iran amelaani uenezaji wa chuki dhidi ya Uislamu unaofanywa na baadhi ya nchi za Magharibi na vile vile ubaguzi wa aina yoyote dhidi ya madhehebu ya dini za waliowachache, hususan Waislamu.
Habari ID: 3475828    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/23

Hujjatul Islam Hamid Shahriari
TEHRAN (IQNA) – Msomi mwandamizi wa Kiislamu nchini Iran anasema matatizo mengi ya ulimwengu wa Kiislamu yanatokana na masuala ya kisiasa kati ya nchi.
Habari ID: 3475827    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/23

Jamhuri ya Kiislamu ya Iran
TEHRAN (IQNA)- Leo Alkhamisi tarehe 25 Safar 1444 Hijria sawa na 22 Septemba 2022 inayosadifiana na 31 Shahrivar 1431 Hijria Shamsiya inaadhimishwa kama kama mwanzo wa 'Wiki ya Kujihami Kutakatifu'
Habari ID: 3475825    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/22

Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) - Mkuu wa Kituo cha Masuala ya Qur'ani cha Shirika la Wakfu na Misaada la Iran ameeleza kushiriki kwa wananchi wa madhehebu ya Shia na Sunni kwa pamoja katika mashindano ya kitaifa ya Qur'ani ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kuwa ni dhihirisho la umoja wa Kiislamu nchini.
Habari ID: 3475813    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/20

Iran na jamii ya kimataifa
TEHRAN (IQNA)- Rais wa Iran amesema hana mpango wa kukutana au kufanya mazungumzo na mwenzake wa Marekani, Joe Biden katika safari yake ya New York, anayotazamiwa kwenda kushiriki Mkutano wa 77 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa (UNGA).
Habari ID: 3475804    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/18

Khatibu wa Sala ya Ijumaa Tehran
TEHRAN (IQNA)- Khatibu wa Sala ya Ijumaa iliyosaliwa leo hapa mjini Tehran amesisitiza kuwa, mapambano ya watu wa Palestina na Yemen ni muendelezo wa mapambano ya Ashura katika jangwa la Karbala mwaka 61 Hijria.
Habari ID: 3475790    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/16

Mazungumzo baina ya dini
TEHRAN (IQNA) - Mufti Mkuu wa Kazakhstan Sheikh Nauryzbay Kazhy Taganuly amepongeza nafasi ya kimkakati ya Iran katika kukuza mazungumzo kati ya dini mbali mbali.
Habari ID: 3475789    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/15

Mapambano ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA) - Katibu Mkuu wa Harakati ya al-Umma ya Lebanon Sheikh Abdullah al-Jabri amepongeza nafasi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika mhimili wa muqawama au mapambano ya Kiislamu.
Habari ID: 3475779    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/13