iqna

IQNA

TEHRAN (IQNA)- Rais Ebrahim Raeisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameupongeza mhimili wa muqawama au mapambano ya Kiislamu kwa kuuzuia utawala wa Kizayuni kutekeleza uharibifu zaidi katika eneo kama walivyofanya magaidi wakufurishaji.
Habari ID: 3475183    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/04/29

Jumuiya ya Kimataifa ya Kukurubisha Pamoja Madhehebu za Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Jumuiya ya Kimataifa ya Kukurubisha Pamoja Madhehebu za Kiislamu imetangaza kuwa njia ya kuuangamiza utawala wa Kizayuni ni kuimarisha safu ya Jihadi na mapambano mataifa sambamba na nchi za Kiislamu kutangaza uungaji mkono wao wa pande zote kwa wananchi waliodhulumika wa Palestina.
Habari ID: 3475182    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/04/29

TEHRAN (IQNA)- Mkuu wa Halmashauri ya Kuainisha Maslahi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, Siku ya Kimataifa ya Quds ni nembo ya muqawama au mapambano katika Umma wa Kiislamu.
Habari ID: 3475180    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/04/28

Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Amir- Abdollahian
TEHRAN (IQNA)- Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema Utawala bandia wa Israel ni mkiukaji mkubwa wa haki za binadamu duniani huku akisisitiza kuwa kura ya maoni ni njia muafaka ya kuainisha mustakabali wa Palestina.
Habari ID: 3475179    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/04/28

TEHRAN (IQNA)- Balozi wa mwakilishi wa kudumu wa Iran katika Umoja wa Mataifa amesema kuwa, kuna wajibu wa sheria za kimataifa kuulinda Msikiti wa al Aqsa ili kuzuia kutokea maafa yenye madhara makubwa.
Habari ID: 3475175    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/04/27

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa, maadhimisho ya Siku ya Quds ni fursa ya kutangaza kuwa pamoja na wananchi madhulumu wa Palestina ambapo licha ya taifa hilo kudhulumiwa lakini limepata nguvu na kuwa imara.
Habari ID: 3475173    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/04/27

TEHRAN (IQNA)- Mashindano ya Qur’ani Tukufu na Adhana yajulikanayo kama Otr Elkalam ya Saudi Arabia yamemalizika katika mji wa Jeddah nchini humo.
Habari ID: 3475152    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/04/21

Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran
TEHRAN (IQNA)- Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Hossein Amir-Abdollahian amesema undumakuwili na kimya cha baadhi ya serikali na duru za kimataifa ndio chanzo cha kupata ubavu Israel katika kuzidisha uvamizi dhidi ya Wapalestina na ukiukaji wa haki zao.
Habari ID: 3475148    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/04/21

TEHRAN (IQNA)- Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amelaani hujuma ya kigaidi dhidi ya shule kadhaa katika mji mkuu wa Afghanistan, Kabul sambamba na kutuma salamu za rambirambi kwa familia za waliopoteza maisha.
Habari ID: 3475146    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/04/20

Rais Ebrahim Raisi katika gwaride la Siku ya Jeshi
TEHRAN (IQNA)- Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema uwezo wa majeshi ya Iran ni uwezo wa kumzuia adui na kuongeza kuwa, uchokozi hata mdogo zaidi wa maadui kama vile utawala wa Kizayuni wa Israel hautafumbiwa macho na vikosi vya ulinzi vya Iran.
Habari ID: 3475137    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/04/18

TEHRAN (IQNA)- Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imemuita balozi mdogo wa Sweden mjini Tehran na kumfahamisha kuhusu malalamiko makali ya Iran kufuatia kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu na kundi moja lenye misimamo mikali nchini Sweden katika kipindi hiki cha Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3475136    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/04/18

TEHRAN (IQNA)- Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imesema serikali ya Sweden inapaswa kuwajibika kuhusu kitendo cha kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu nchini humo.
Habari ID: 3475132    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/04/17

TEHRAN (IQNA)- Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amefanya mazungumzo ya simu na Waziri wa Mambo ya Nje wa Afrika Kusini ambapo wamejadili masuala ya kieneo na kimataifa.
Habari ID: 3475130    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/04/15

TEHRAN (IQNA)- Katika cha mtandaoni kilichoandaliwa na Shirika la Habari la IQNA, wataalamu waMEsisitiza kwamba kazi zaidi ya kitamaduni inahitajika kufanywa ili kukabiliana na makundi ya kitakfiri au wakufurishaji kama vile Daesh (ISIS au ISIL).
Habari ID: 3475127    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/04/14

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA) - Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema licha ya sera na azma ya Marekani na washirika wake ya kutaka kulisambaratisha suala la Palestina, na kuifanya dunia isahau uwepo kwa taifa hilo, lakini kadhia ya Wapalestina ipo hai na inazidi kuimarika na kupata nguvu kila siku.
Habari ID: 3475120    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/04/13

TEHRAN (IQNA)- Maonyesho ya Kimataifa ya Qur'ani ya Iran ni makubwa zaidi ya aina yake katika Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
Habari ID: 3475119    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/04/12

TEHRAN (IQNA) Katibu Mkuu wa Umoja wa Kimataifa wa Wanazuoni wa Kiislamu (IUMS) amelaani vikali shambulio la kigaidi lililofanywa hivi karibuni katika Haram Takatifu ya Imam Ridha (AS) huko Mashhad, kaskazini mashariki mwa Iran na kusababisha kuuawa shahidi maulamaa wawili.
Habari ID: 3475112    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/04/11

TEHRAN (IQNA)- Raundi ya kwanza ya Mashindano ya 45 ya Kitaifa ya Qur'ani Tukufu ya Iran imepengwa kufanyika katika miezi ya Juni na Julai.
Habari ID: 3475111    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/04/11

TEHRAN (IQNA)- Sambamba na Siku ya Kitaifa ya Teknolojia ya Nyuklia, Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ameshiriki katika maonyesho ya Shirika la Nishati ya Atomiki la Iran ambapo amezindua mafanikio mapya katika uga wa miradi ya nyuklia yenye malengo ya amani.
Habari ID: 3475107    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/04/10

TEHRAN (IQNA)- Khatibu wa muda wa Sala ya Ijumaa ya leo mjini Tehran amesisitiza kuwa sekta ya nyuklia ni haki ya kidini na kisheria ya wananchi wa Iran.
Habari ID: 3475101    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/04/08