TEHRAN (IQNA) – Ni jambo la kushanfaza kuona Wa iran i wakibainisha mahaba na mapenzi kwa nchi yao, lakini wakibainisha hisia hizo kwa lugha isiyo ya Kifarsi linakuwa si jambo la kawaida.
Habari ID: 3474919 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/12
TEHRAN (IQNA)-Wananchi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran leoi wamejitokeza kwa wingi mitaani katika maadhimisho ya miaka 43 ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu hapa nchini.
Habari ID: 3474915 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/11
TEHRAN (IQNA)- Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika kikao na mabalozi wa nchi za nje hapa mjini Tehran kwa mnasaba wa kukumbuka ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza kuwa: "Taifa la Iran limesimama imara katika misingi ya itikadi za mapinduzi yake."
Habari ID: 3474911 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/10
TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon Sayyid Nasrallah ameonya kuwa vita vyovyote dhidi ya Iran vitasababisha mlipuko mkubwa katika eneo la Asia Magharibi (Mashariki ya Kati).
Habari ID: 3474909 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/09
Rais wa Iran apokea vitambulisho vya balozi wa Palestina, asema
TEHRAN (IQNA)- Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amepokea vitambulisho vya balozi mpya wa Palestina mjini Tehran na kusisitiza kuwa: "Umoja na mashikamano wa makundi na mirengo yote ya Palestina ni siri ya kupata ushindi katika mapambano dhidi ya utawala wa Kizayuni wa Israel."
Habari ID: 3474907 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/08
TEHRAN (IQNA)- Fainali ya Mashindano ya 38 ya Kimataifa ya Qur'ani ya Iran itafanyika kwa njia ya intaneti kama ilivyokuwa katika duru za mchujo.
Habari ID: 3474900 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/07
TEHRAN (IQNA)- Ragheb Mustafa Ghalwash alikuwa mmoja kati ya wasomaji bora zaidi wa Qur'ai nchini Misri na ametajwa kuwa qarii kijana zaidi wakati wa 'zama za dhahabu' katika qiraa ya Qur'ani Tukufu nchini Misri.
Habari ID: 3474890 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/04
TEHRAN (IQNA)- Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema, Iran na Saudi Arabia ni nchi muhimu katika eneo na Ulimwengu wa Kiislamu na akaeleza kwamba ana matumaini ushirikiano baina ya nchi hizo mbili utasaidia kutatua matatizo ya eneo na ya Ulimwengu wa Kiislamu.
Habari ID: 3474889 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/04
Mkuu wa Idara ya Mahakama ya Iran
TEHRAN (IQNA)- Mkuu wa Idara ya Mahakama ya Iran amesema Mapinduzi ya Kiisalmu ya Iran ni tafauti kabisa na mapinduzi mengine dunaini na kuongeza kuwa: "Mbinu aliyotumia Imam Khomeini (MA) ilikuwa ni kuwategemea wananchi."
Habari ID: 3474883 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/02
TEHRAN (IQNA)- Rais Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, kumtegemea Mwenyezi Mungu na kuwahusisha wananchi ni misingi miwili ambayo ilitumiwa na Imam Khomeini MA na hivyo kupelekea taifa la Iran liweze kufanikisha Mapinduzi ya Kiislamu.
Habari ID: 3474880 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/02
TEHRAN (IQNA) – Sherehe za mwaka wa 43 wa ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu mwaka 1979 zimeanza rasmi kote Iran.
Habari ID: 3474878 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/01
TEHRAN (IQNA)-Wasimamizi wa Mashindano ya 38 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Iran wametangaza majini ya waliofika katika fainali ya mashindano hayo itakayofanyika mwezi ujao ambapo miongoni mwa waliofuzu ni wawakilishi wa Kenya na Uganda.
Habari ID: 3474877 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/01
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema, jihadi ya wajasiriamali na wafanyakazi wa viwandani katika ngome ya uzalishaji imeifanya Marekani ikiri kuwa imeshindwa katika vita vyake vya kiuchumi.
Habari ID: 3474870 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/01/30
TEHRAN (IQNA)- Maelfu ya wananchi katika miji mingi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran wameshiriki katika maandamano ya kuunga mkono taifa linalodhulumiwa la Yemen na kulaani jinai zinazotendwa na muungano vamizi unaoongozwa na Saudia dhidi ya taifa hilo.
Habari ID: 3474861 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/01/28
TEHRAN (IQNA)- Rais Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema serikali yake inalenga kuwa na ushirikiano na dunia nzima lakini akaonya kuwa Iran itakabiliana na madola yanayotaka kukabiliana na nchi hii.
Habari ID: 3474855 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/01/26
TEHRAN (IQNA)- Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema katika kikao chake na Waziri wa Mambo ya Nje wa Togo kuwa: Suala la kuimarishwa uhusiano wa Iran na nchi za bara la Afrika litafuatiliwa kwa umakini na nguvu zaidi.
Habari ID: 3474846 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/01/24
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amewataka wasomaji wa tungo za mashairi ya kuwasifu Ahlul-Bayt (AS) kutumia nafasi waliyonayo kwa ajili ya kukabiliana na propaganda za vyombo vya habari dhidi ya taifa la Iran.
Habari ID: 3474843 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/01/23
TEHRAN (IQNA)- Khatibu wa Sala ya Ijumaa ya leo mjini Tehran amesema: Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inaandaa ramani ya njia ya ushirkiano na nchi zingine kwa kuzingatia maslahi yake ya taifa.
Habari ID: 3474832 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/01/21
TEHRAN (IQNA)- Rais Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu amesema mbele ya Waislamu wa Msikiti Mkuu wa Moscow, mji mkuu wa Russia kwamba, Misikiti ni nyumba za Mwenyezi Mungu ardhini na inamlea vizuri Muislamu na jamii yake.
Habari ID: 3474831 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/01/21
TEHRAN (IQNA)- Iran imetangaza kuwa tayari kuwatuma wananchi wake kuenda Saudi Arabia kutekeleza ibada ya Umrah iwapo masharti yatatimizwa.
Habari ID: 3474826 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/01/19