Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema Ramadhani ni mwezi wa ugeni na rehema zisizo na kikomo za Mwenyezi Mungu, na kwamba kutakasa nafsi, kuanisika kunakoambata na kutafakari kwa kina na kuelewa vyema Qur'ani ni miongoni mwa mambo muhimu yanayomuwezesha mwanadamu kufaidika na ugeni huo wa Mola Karima.
Habari ID: 3475094 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/04/04
TEHRAN (IQNA)- Rais Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amewatumia ujumbe wa salamu za Ramadhan viongozi wa nchi za Kiislamu duniani huku akiwa na matumaini kuwa, kwa baraka za mwezi huu mtukufu Waislamu duniani wataungana.
Habari ID: 3475092 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/04/04
TEHRAN (IQNA) - Katibu Mkuu wa Harakati ya Jihad ya Kiislamu ya Palestina ameipongeza Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa kuunga mkono ukombozi wa taifa la Palestina.
Habari ID: 3475083 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/28
Hossein Amir Abdollahian
TEHRAN (IQNA)- Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa: Iran iko tayari kwa ajili ya duru ya tano ya mazungumzo na Riyadh.
Habari ID: 3475080 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/27
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Seyyid Ali Khamenei amesema kuhusu matukio ya dunia yanayoendelea kujiri katika nchi za Afghanistan, Ukraine na Yemen kwamba: "matukio yote haya yanaonyesha ukweli wa taifa la Iran na machaguo sahihi liliyofanya katika kupambana Uistikbari."
Habari ID: 3475065 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/22
TEHRAN (IQNA)- Katika ujumbe wake wa Nowruz au Nairuzi na mwaka mpya wa 1401 Hijria Shamsia, Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameitaja karne ya kumi na tano Hijria Shamsia kuwa ni karne ya Iran ya Kiislamu na zama za watu wa Iran kuwa na nafasi na machango muhimu zaidi.
Habari ID: 3475063 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/21
TEHRAN (IQNA)-Katika ujumbe wake kwa mnasaba wa kuanza mwaka 1401 Hijria Shamsia, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amelipongeza taifa kwa kuwadia sikukuu ya Nowruz au Nairuzina kuutaja mwaka mpya kuwa ni mwaka wa "uzalishaji unaotegemea elimu na kutengeneza ajira."
Habari ID: 3475062 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/21
TEHRAN (IQNA) – Uteuzi kwa awamu ya tano ya Tuzo ya Mustafa SAW umefunguliwa.
Habari ID: 3475041 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/14
TEHRAN (IQNA)- Duru ya 29 ya Maonyesho ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu ya Tehran imepenga kufanyika katika Ukumbi wa Sala (Musalla) wa Imam Khomeini (RA).
Habari ID: 3475036 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/13
TEHRAN (IQNA)- Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu nchini Iran (IRGC) limetangaza kuwa limelenga kwa makombora kituo cha kistratijia cha njama na uovu cha Wazayuni na kusisitizia kuwa: Kurudiwa kwa uovu wa aina yoyote kutakabiliwa na jibu kali, la pande zotei na haribifu.
Habari ID: 3475035 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/13
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema, kuiridhia Marekani au dola jengine lolote lile kwa ajili ya kuepukana na vikwazo ni kosa kubwa na pigo kwa nguvu za kisiasa.
Habari ID: 3475030 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/10
TEHRAN (IQNA)- Kampuni kubwa ya mitandao ya kijamii ya Marekani ya Facebook imefuta "daima" ukurasa wa mtandao wa habari wa televisheni ya Iran wa al-Alam TV kwenye jukwaa lake bila kutoa notisi yoyote mapema.
Habari ID: 3475020 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/07
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kulinda na kuhifadhi miti ni kazi muhimu sana ambayo inapaswa kufanywa
Habari ID: 3475016 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/06
TEHRAN (IQNA) - Katika taarifa yake, jopo la majaji limepongeza kiwango cha hali ya juu katika mashindano ya kimataifa ya Qur'ani ya mwaka huu nchini Iran.
Habari ID: 3475014 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/06
Waziri wa Utamaduni wa Iran
TEHRAN (IQNA) - Waziri wa Utamaduni na Miongozo ya Kiislamu wa Iran aliutaja ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya mwaka 1979 nchini Iran kuwa ni dhihirisho la utimilifu wa mafundisho ya Qur'ani.
Habari ID: 3475013 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/06
TEHRAN (IQNA)- Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani ya Iran yamemalizika Jumamosi jioni mjini Tehran huku miongoni mwa washindi wakiwa ni wawakilishi wa Kenya na Tanzania.
Habari ID: 3475011 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/05
TEHRAN (IQNA)- Mtaalamu wa masuala ya Qur'ani kutoka Morocco amepongeza utaratibu bora katika mashindano ya kimataifa ya Qur'ani ya Iran mwaka huu.
Habari ID: 3475007 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/05
TEHRAN (IQNA) – Mashindano ya 38 ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu ya Iran yanaendelea huku baadhi ya wanaoshindana wakishiriki ana kwa ana katika ukumbi na wengine wakishiriki kwa njia ya intaneti.
Habari ID: 3474999 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/03
TEHRAN (IQNA)- Fainali ya Mashindano ya 38 ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu ya Iran imeanza mjini Tehran siku ya Jumatatu usiku.
Habari ID: 3474992 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/01
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa, Marekani ni utawala wa kimafia na kwamba, Ukraine imekuwa mhanga wa siasa za utawala huo.
Habari ID: 3474989 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/01