TEHRAN (IQNA)-Baada ya serikali ya Iraq kutangaza rasmi kukombolewa mji wa Mosul kutoka mikononi mwa magaidiwa ISIS au Daesh, imebainika kuwa wakazi wa mji huo wanahitaji ushauri nasaha.
Habari ID: 3471058 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/07/10
TEHRAN (IQNA)- Jeshi la Iraq limeyakomboa maeneo yote ya mji wa Mosul ambao ulikuwa makao ya kundi la kigaidi la ISIS au Daesh na kwa utaratibu huo kuangamiza khilafa bandia ya kundi hilo la kitakfiri iliyokuwa imetangazwa mjini humo.
Habari ID: 3471042 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/06/29
Magaidi wa kundi la kitakfiri la Daesh (ISIL) wameharibu misikiti kadhaa na Haram tukufu za Waislamu wa Sunni na Shia katika mkoa wa Salahuddin nchini Iraq.
Habari ID: 2612443 Tarehe ya kuchapishwa : 2014/11/28
Magaidi wa kitakfiri nchini Iraq wameendelea kubomoa turathi za kidini mna maeneno matakatifu ambapo katika tukio la hivi karibuni wamebomoa msikiti wa kale wa Nabii Shayth AS (Seth) katika mji wa Mosul.
Habari ID: 1433798 Tarehe ya kuchapishwa : 2014/07/27