TEHRAN (IQNA)- Jumba la Makumbusho la Hagia Sophia mjini Istanbul litageuzwa na kurejea katika hadhi yake ya msikiti, ameamuru Rais Recep Tayyip Erdogan wa Uturuki.
Habari ID: 3471893 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/03/29
TEHRAN (IQNA)-Moja ya nakala ndogo zaidi za Qur’ani duniani imewekwa katika maonyesho katika mji wa Kusadasi, wilayani Aydin nchini Uturuki.
Habari ID: 3471712 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/10/19
Kiongozi Muadhamu katika mkutano na rais wa Uturuki
TEHRAN (IQNA)-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema hitajio muhimu zaidi katika ulimwengu wa Kiislamu hii leo ni ukuruba zaidi na mshikamano wa nchi za Kiislamu.
Habari ID: 3471662 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/09/07
Rais wa Uturuki atahadharisha
TEHRAN (IQNA) – Rais Recep Tayyip Erdogan wa Uturuki amemkosoa Kansela Sebastian Kurz wa Austria kufuatia uamuzi wa serikali yake kufunga misikiti saba na kuwatimua maimamu 40.
Habari ID: 3471550 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/06/10
TEHRAN (IQNA) – Kutokana na Waislamu kuswali mara tano kwa siku katika sala za jamaa misikitini, suala la usafi na unadhifu ni muhimu sana na limetiliwa mkazo katika mfundisho ya Kiislamu.
Habari ID: 3471537 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/05/30
TEHRAN (IQNA)- Mashindano ya 6 ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu ya Uturuki yameanza Jumapili mjini Istanbul.
Habari ID: 3471525 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/05/21
TEHRAN (IQNA)- Idara ya masuala ya kidini nchini Uturuki imetangaza mpango wa kuandika tafsiri mpya ya Qur'ani itakayaondikwa kwa mchango wa wanasayansi.
Habari ID: 3471452 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/04/03
TEHRAN (IQNA)-Baraza Kuu la Benki na Taasisiza Kifedha za Kiislamu (CIBAFI) limepanga limetangaza kuwa kikao chake cha tatu cha kimataifa kitafnayika Aprili 18-19 mwakani mjini Istanbul, Uturuki.
Habari ID: 3471313 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/12/17
TEHRAN (IQNA)-Mkutano wa pili wa kimataifa kuhusu qiraa au usomaji wa Qur’ani Tukufu umefanyika katika mji wa Istanbul, Uturuki.
Habari ID: 3471252 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/11/07
TEHRAN (IQNA)- Watoto katika mji wa Istanbul Uturuki wametunukiwa zawadi ya baiskeli kwa kushiriki katika sala ya jamaa msikitini kwa siku 40 mfululizo.
Habari ID: 3471213 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/10/12
Kiongozi Muadhamu katika mkutano wa Rais wa Uturuki:
TEHRAN (IQNA)-Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Jumatano alionana na Rais Recep Tayyip Erdogan na ujumbe alioandamana nao hapa mjini Tehran.
Habari ID: 3471205 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/10/05
TEHRAN (IQNA)-Qarii (msomaji) mashuhuri wa Qur’ani Tukufu nchini Uturuki, Sheikh Abdullah Hatipoglu aliaga dunia Jumapili akiwa na umri wa miaka 88.
Habari ID: 3471086 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/07/26
TEHRAN (IQNA)- Sayyed Mostafa Husseini wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametangazwa kushika nafasi ya pili katika qiraa katika Mashindano ya 5 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu nchini Uturuki.
Habari ID: 3470992 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/05/24
TEHRAN (IQNA)-Mwanamke raia wa Uturuki ambaye amehifadhi nusu ya Qur'ani hivi sasa anataraji kuhifadhi Qur'ani kikamilifu.
Habari ID: 3470924 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/04/08
IQNA-Serikali ya Uturuki imelaaniwa vikali kwa kuamuru kufungwa televisheni mbili za Waislamu wa madhehebu ya Shia ambazo zilidaiwa kueneza "propaganda dhidi ya serikali".
Habari ID: 3470811 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/01/25
Nakala za Qur'ani zilizoandikwa kwa mkono karne saba zilizopita zimeanza kuonyesha katika Taasisi ya Smithsonian, mjini Washington nchini Marekani.
Habari ID: 3470626 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/10/22
Habari ID: 3470555 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/09/10
Habari ID: 3470459 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/07/18
Ijumaa usiku Uturuki ilikuwa medani ya mapinduzi ya kijeshi yaliyofeli kuiangusha serikali ya nchi hiyo inayoongozwa na Rais Reccep Tayyib Erdogan.
Habari ID: 3470457 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/07/17
Sherehe za kufunga Mashindano ya 4 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Uturuki zimefanyika Ijumaa hii mjini Istanbul.
Habari ID: 3470394 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/06/18