iqna

IQNA

TEHRAN (IQNA) - Bunge la Misri limeidhinisha wanajeshi wa nchi hiyo kutumwa Libya na hivyo kuandaa mazingira ya kuvamiwa kijeshi nchi hiyo jirani.
Habari ID: 3472984    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/21

TEHRAN (IQNA) -Waziri wa Mambo ya Nje wa Uturuki amesema Serikali ya Muafaka wa Kitaifa Libya, inayotambuliwa na Umoja wa Mataifa, itaafiki mpatano ya usitishwaji vita iwapo tu jenerali muasi Khalifa Haftar ataondoa wapiganaji wake walioko maeneo ya kati na magharibi mwa nchi hiyo
Habari ID: 3472960    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/13

TEHRAN (IQNA) – Wanaharakati na waumini wamekusanyika nje ya Hagia Sophia mjini Istanbul, Uturuki kusherehekea kugeuzwa jengo hilo kuwa msikiti na baada ya kuwa jumba la makumbusho kwa muda mrefu.
Habari ID: 3472953    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/12

Mahakama ya Kilele Uturuki
TEHRAN (IQNA) - Mahakama ya juu zaidi nchini Uturuki imefungua njia ya jumba la zamani la Hagia Sophia kugeuzwa kuwa msikiti na kubadilisha hadhi yake ya sasa kama jumba la makumbusho.
Habari ID: 3472949    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/11

TEHRAN (IQNA) – Mahakama ya Uturuki siku ya Alhamisi ilisikiliza kesi kuhusu Jumba la Makumbusho la Hagia Sophia mjini Istanbul kurejeshwa katika hadhi yake ya msikiti.
Habari ID: 3472926    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/03

TEHRAN (IQNA) - Mahakama moja nchini Uturuki leo imeanza kusikiliza kesi ya maafisa 20 wa utawala wa Saudi Arabia waliohusika na mauaji ya mwandishi wa habari raia wa nchi hiyo Jamal Khashoggi.
Habari ID: 3472924    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/03

TEHRAN (IQNA)- Rais Recep Tayyip Erdogan wa Uturuki amesema mfumo wa kifedha wa Kiislamu unaweza kutumika kuiondoa dunia katika mgogoro wa kiuchumi uliosababishwa na janga la COVID-19.
Habari ID: 3472866    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/06/15

TEHRAN (IQNA) - Zaidi ya asilimia 73 ya watu wa Uturuki wanataka Jumba la Makumbusho la Hagia Sophia mjini Istanbul lirejee katika hadhi yake ya msikiti.
Habari ID: 3472859    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/06/12

TEHRAN (IQNA) - Spika mpya wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu yaani Bunge la Iran amesisitizia umuhimu wa umoja wa nchi za Kiislamu na jitihada za pamoja za kukabiliana na njama za utawala wa Kizayuni wa Israel.
Habari ID: 3472818    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/05/30

TEHRAN (IQNA) - Aya za Qur'ani Tukufu zimesomwa katika Kanisa Kubwa la Hagia Sophia ambalo sasa ni jumba la makumbusho mjini Istanbul Uturuki.
Habari ID: 3472812    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/05/29

TEHRAN (IQNA)- Uturuki imemtuhumu jenerali muasi Khalifa Haftar wa Libya kuwa analenga ‘kuibua udikteta wa kijeshi’ na hivyo imeapa kuulinda mji wa Tripoli.
Habari ID: 3472715    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/04/29

TEHRAN (IQNA) – Shirika la Hilali Nyekundu la Uturuki limetangaza mpango wa kuwasaidia Waislamu 10 nchini Uturuki na maeneo mengine duniani katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3472674    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/04/17

TEHRAN (IQNA)- Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amefanya mazungumzo ya simu na mawaziri wa mambo ya nje wa Uturuki na Qatar kuhusu matukio ya hivi karibuni kuhusu mgogoro wa kisiasa nchini Afghanistan.
Habari ID: 3472663    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/04/13

TEHRAN (IQNA)- Idadi ya walioambukizwa ugonjwa wa COVID-19 au corona nchini Saudi Arabia wanazidi kuongezeka huku Uturuki ikiituhumu Saudia kuwa inaficha ukweli kuhusu idadi kamili ya walioambukizwa.
Habari ID: 3472608    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/03/27

TEHRAN (IQNA) – Serikali ya Uturuki imepiga marufuku kwa muda sala za Ijumaa na jamaa katika misikiti nchini humo kutokana na hofu ya kuenea ugonjwa hatari wa COVID-19 maarufu kama kirusi cha corona.
Habari ID: 3472572    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/03/16

TEHRAN (IQNA) – Miaka mine iliyopita, uliwekwa msingi wa Msikiti wa Abdülhamid II nchini Djibouti na sasa mradi huo umekamilika.
Habari ID: 3472238    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/11/28

TEHRAN (IQNA) – Rais Reccep Tayyip Erdogan wa Uturuki ametoa wito kwa Umoja wa Mataifa na asasi zingine za kieneo kuitangaza Machi 25 kama Siku ya Kimataifa ya Mshikamano katika Kukabiliana na Chuki dhidi ya Uislamu.
Habari ID: 3472236    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/11/28

TEHRAN (IQNA) – Msikiti mpya uliopewa jina la Masjid Tawheed umefunguliwa mapema wiki hii katika mji wa Venlo, kusini mashariki mwa Uholanzi.
Habari ID: 3472012    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/06/23

TEHRAN (IQNA) – Mchunguzi maalumu wa Umoja wa Mataifa ametangaza kuwa ushahidi unaonyesha mrithi wa ufalme wa Saudi Arabia na maafisa kadhaa wa ngazi ya juu wa ufalme huo walihusika na mauaji ya mwandishi habariJamal Khashoggi.
Habari ID: 3472008    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/06/20

TEHRAN (IQNA)- Mashindano ya 7 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Uturuki yamemalizika kwa kutunukwia zawadi washindi.
Habari ID: 3471975    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/05/28