iqna

IQNA

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran, amesema kuwa hajachukua hatua yoyote kuhusiana na maelewano ya mazungumzo ya nyuklia kati ya taifa hili na kundi la 5+1 kwa kuwa hadi sasa haijafika wakati wa kutoa maamuzi hasa kwa kutilia maanani kwamba bado viongozi wa serikali wamesema kuwa, bado makubaliano hasa hayajafikiwa.
Habari ID: 3116071    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/04/10

Ayatullah Hashemi Rafsanjani, Mkuu wa Halmashauri ya Kuainisha Maslahi ya Mfumo wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amemwandikia barua Mfalme Abdullah bin Abdulaziz wa Saudi Arabia ya kumtaka azuie kutekelezwa hukumu ya adhabu ya kifo iliyotolewa dhidi ya mwanazuoni wa Kishia wa nchi hiyo Sheikh Nimr Baqir an-Nimr.
Habari ID: 1463760    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/10/26

Katika sala ya Ijumaa Tehran
Khatibu wa Swala ya Ijumaa iliyosaliwa leo hapa mjini Tehran ameionya Saudia Arabia kuhusiana na hukumu ya kifo dhidi ya mwanazuoni mashuhuri wa Kishia nchini humo Ayatullah Sheikh Nimr Baqir al-Nimr.
Habari ID: 1463465    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/10/25

Ajuza mwenye umri wa miaka 70 amefanikiwa kuhifadhi Qur'ani nzima baada ya juhudi kubwa za miaka 15.
Habari ID: 1460246    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/10/14

Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imetangaza kuchukizwa mno na matamshi yaliyotolewa na Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje wa Saudi Arabia dhidi ya Iran.
Habari ID: 1460154    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/10/14

Wizara ya Afya ya Saudi Arabia imeanzisha kampeni maalumu ya kukabiliana na ugonjwa hatari wa Ebola katika kipindi hiki cha kuanza msimu wa Hija.
Habari ID: 1450843    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/09/16

Pendekezo la kutaka kufukuliwa kaburi la Mtukufu Mtume Muhammad (saw) lililoko Masjid al-Nabawi mjini Madina na kuhamishwa mabaki ya mwili wa mtukufu huyo kwenda kuzikwa katika makaburi ya Baqii, Saudia, limekabiliwa na radiamali kali kutoka kwa maulama wa Chuo Kikuu cha al-Azhar nchini Misri
Habari ID: 1446838    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/09/06