Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza kuwa, hatua yoyote ile - hata ndogo kiasi gani - ya kuwavunjia heshima mahujaji wa Iran na kutotekelezwa majukumu yanayotakiwa kuhusiana na maafa ya mahujaji waliopoteza maisha katika maafa ya Mina, itakabiliwa na jibu kali kutoka Iran.
Habari ID: 3375966 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/09/30
Wizara ya Afya ya Saudi Arabia imetangaza kuwa, idadi ya Mahujaji walipoteza maisha katika maafa ya Mina imefikia 4,173.
Habari ID: 3374468 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/09/29
Rais Rouhani wa Iran
Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema, ukosefu wa busara na tadbiri katika utawala wa Saudia ndio chanzo cha mahujaji kupoteza maisha kidhulma.
Habari ID: 3374466 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/09/29
Mfalme Salman wa Saudi Arabia ametoa amri ya kukusanywa kanda zote za kamera zilizosajili maafa ya kusikitisha ya Mina.
Habari ID: 3372681 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/09/28
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema Ulimwengu wa Kiislamu una maswali mengi ya kuuliza kuhusu maafa yaliyotokea Mina nchini Saudi Arabia.
Habari ID: 3372415 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/09/27
Sayyid Hassan Nasrullah
Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa Saudi Arabia inalazimika kukabidhi masuala ya kusimamia na kuendesha ibada ya Hija kwa nchi za Kiislamu.
Habari ID: 3370688 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/09/26
Gazeti la al Diyar la Lebanon
Imearifiwa kuwa msafara wa mwanamfalme wa Saudia, Mohammad Bin Salman Aal Saud katika eneo la Mina, ndiyo sababu ya kupelekea msongamano na kufariki maelfu ya mahujaji katika eneo hilo karibu na mji mtakatifu wa Makka.
Habari ID: 3369304 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/09/25
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Ali Khamenei ametangaza siku tato za maombolezo ya kitaifa kufuatia vifo vya mamia ya mahujaji waliokuwa katika ibada ya Hija huko Mina, karibu na mji mtakatifu wa Makka.
Habari ID: 3367103 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/09/24
Kiongozi wa Ansarullah
Kiongozi wa Harakati ya Ansarullah nchini Yemen ameashiria hatua ya Saudi Arabia ya kuwazuia mahujaji kutoka Yemen kushiriki katika ibada ya Hija na kusema, ‘Makka si milki ya Aal Saudi iwazuie mahujaji wa Yemen.’
Habari ID: 3365868 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/09/21
Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu amesema uzembe uliofanywa na serikali ya Saudi Arabia ndio uliosababisha tukio la maafa yaliyotokea katika mji mtukufu wa Makka.
Habari ID: 3362440 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/09/14
Baraza la Maulamaa katika utawala wa Saudi Arabia wametangaza kuipinga filamu ya Mtume Muhammad SAW iliyotengenezwa Iran.
Habari ID: 3358540 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/09/06
Saudi Arabia imeendeleza mashambulizi yake ya kikatili kote Yemen huku Umoja wa Mataifa ukitoa wito wa kusitishwa mapigano katika nchi hiyo ya Kiarabu.
Habari ID: 3342924 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/08/14
Kampeni ya kimataifa imeanzishwa kwa lengo la kuushinikikza utawala wa Saudi Arabia kumuachilia huru msomi wa Kiislamu wa madhehebu ya Shia Sheikh Nimr al-Nimr.
Habari ID: 3338914 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/08/04
Abdul-Malik al-Houthi
Kiongozi wa harakati ya Ansarullah nchini Yemen Abdul-Malik al-Houthi amesema adui wa wananchi wa Yemen mwishowe atashindwa tu. Aidha ameongeza kuwa utawala haramu wa Israel unafaidika na hujuma ya Saudia dhidi ya watu wa Yemen.
Habari ID: 3338217 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/08/03
Wanaharakati wa kutetea haki za binadamu wameandamana katika nchi 20 duniani wakitaka Saudi Arabia imuachilie huru msomi wa Kiislamu wa madhehebu ya Shia Sheikh Nimr al-Nimr.
Habari ID: 3338080 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/08/02
Watu wasiopungua watano wamepoteza maisha na wengine saba kujeruhiwa katika hujuma ya bomu karibu na Msikiti wa Mashia katika mji mkuu wa Yemen, Sana'a.
Habari ID: 3331848 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/07/21
Kamati ya kuutafuta mwezi mwandamo katika Ofisi ya Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu imetangaza kuwa, Siku kuu ya Idul Fitr itaadhimishwa kesho Jumamosi nchini Iran na kwa msingi huo Ijumaa ya leo ni siku ya mwisho ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani nchini.
Habari ID: 3328911 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/07/17
Shirika la Afya Duniani WHO limeonya kuhusu hali mbaya ya kibinadmau nchini Yemen na kusema na kusema mkoa wa Aden unakabiliwa na hali maafa ya kiafya.
Habari ID: 3328804 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/07/16
Kundi la kigaidi na Kitakfiri la Daesh (ISIS) limetangaza kuwapiga marufuku Waislamu kusali Sala ya Idul Fitr baada ya kumalizika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3327619 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/07/13
Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah
Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon Sayyid Hassan Nasrullah amesema Iran ndio nchi pekee inayounga mkono ukombozi wa ardhi zote za Palestina na Quds Tukufu.
Habari ID: 3326617 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/07/11