iqna

IQNA

Quds Tukufu
TEHRAN (IQNA) – Mpango wa Wiki ya Kimataifa ya Al-Quds umezinduliwa na mwanaharakati kwenye mitandao ya kijamii kuangazia changamoto zinazoukabili mji huo mtakatifu ambao pia unajulikana kama Jerusalem.
Habari ID: 3476566    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/15

Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA)- Wabunge wa chama cha upinzani cha Republican katika Baraza la Wawakilishi la Bunge la Marekani (Congress) wamepiga kura ya kumtimua Ilhan Omar katika kamati muhimu ya bunge kutokana na kitendo cha mbunge huyo Muislamu kuwakejeli wanasiasa wa Marekani kutokana na uungaji mkono wao usio na msingi kwa utawala wa Israel mkabala wa kupokea malipo ya malipo ya fedha.
Habari ID: 3476507    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/03

Kadhia ya Palestina
TEHRAN (IQNA) - Balozi wa Qatar katika Umoja wa Ulaya na muungano wa kijeshi wa NATO amesisitiza uungaji mkono wa nchi yake kwa ukombozi wa Palestina.
Habari ID: 3476463    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/25

Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA) - Utawala ghasibu wa Israel unaripotiwa kupanga kujenga nyumba 18,000 zaidi vitongoji haramu vya walowezi wa Kizayuni katika ardhi za Palestina zinazokoloniwa na utawala huo huko Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.
Habari ID: 3476462    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/25

Mgogoro katika utawala bandia
TEHRAN (IQNA)-Duru za utawala wa Kizayuni wa Israel zimetangaza hbari ya kujiuzulu kiongozi mwingine wa serikali ya utawala huo bandia na hivyo kuongeza uwezekano wa kusambaratika muungano unaolegalega wa serikali yenye misimamo ya kufurutu ada ya Benjamin Netanyahu.
Habari ID: 3476459    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/24

Mgogoro Israel
TEHRAN (IQNA)-Kwa mara nyingine, makumi ya maelfu ya Wazayuni wakazi wa ardhi zinazokaliwa kwa mabavu za Palestina na kupachikwa jina la Israel wameandamana dhidi ya serikali yenye misimamo ya kuchupa mipaka ya Benjamin Netanyahu.
Habari ID: 3476445    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/22

Jinai za Israel dhidi ya Wapalestina
TEHRAN (IQNA)-Askari wa jeshi katili la utawala wa Kizayuni wa Israel wameshambulia kambi ya wakimbizi ya Wapalestina katika mji wa Jenin, kaskazini mwa eneo la Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan linalokaliwa kwa mabavu, na kuua shahidi Wapalestina wawili.
Habari ID: 3476431    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/19

Jinai za utawala haramu wa Israel
TEHRAN (IQNA)- Januari 19 inatambuliwa katika kalenda ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kuwa ni "Siku ya Ghaza" kwa mnasaba wa kumbukumbu ya vita vya siku 22 vya utawala haramu wa Israel dhidi ya Ukanda wa Ghaza (Gaza) huko Palestina.
Habari ID: 3476430    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/19

Njama dhidi ya Al Aqsa
TEHRAN (IQNA)- Mufti wa Oman Sheikh Ahmed bin Hamad al-Khalili amesema, mwenendo ulioanzishwa na baraza la mawaziri la utawala haramu wa Kizayuni lenye misimamo ya kufurutu ada wa kuuvamia Msikiti wa Al-Aqsa unamaanisha kutangaza vita dhidi ya Umma wa Kiislamu.
Habari ID: 3476409    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/15

Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA) - Waandishi habari wapatao hamsini na watano wa Kipalestina wameuawa na utawala katili wa Israel tangu mwaka 2000 ikiwa ni katika njama za utawala huo wa kikoloni za kuzuia habari za jinai zake dhidi ya Wapalestina kuwafikia walimwengu.
Habari ID: 3476384    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/11

Upinzani dhidi ya Israel
TEHRAN (IQNA)- Mufti Mkuu wa Oman ametangaza kuafiki na kuunga mkono mpango wa bunge la nchi hiyo wa kususiwa utawala haramu wa Israel unaotenda jinai kila uchao huko Palestina.
Habari ID: 3476339    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/01

Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA)- Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa, kwa kupitisha azimio, limetaka maoni ya ushauri ya Mahakama ya Kimataifa ya Uadilifu (ICJ) kuhusu namna utawala ghasibu wa Israel unavyokiuka haki ya Wapalestina ya kujitawala na kujiainishia hatima yao na utawala.
Habari ID: 3476338    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/01

Mapambano ya Wapalestina
TEHRAN (IQNA)-Kiongozi wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) nje ya nchi amewatolea mwito Wapalestina wa kudumisha umoja na mshikamano baina yao ili kukabiliana na serikali mpya ya utawala haramu wa Israel inayoongozwa na Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu.
Habari ID: 3476310    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/26

Jinai za Isarel
TEHRAN (IQNA) - Takriban Wapalestina 74 waliokuwa wakishikiliwa katika jela za utawala wa Kizayuni wa Israel wamekufa shahidi kutokana na kunyimwa huduma kiafya.
Habari ID: 3476287    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/22

Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA)- Umoja wa Mataifa unasema mwaka 2022 unasalia kuwa mwaka mbaya zaidi kwa Wapalestina katika Ukingo wa Magharibi tangu 2005, huku katika kipindi cha mwezi moja Wapalestina 19 wakiuawa shahidi katika mashambulizi ya wanajeshi wa utawala haramu wa Israel katika maeneo yanayokaliwa kwa mabavu na utawala huo.
Habari ID: 3476264    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/18

Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA) - Harakati ya Mapambano ya Kiisalmu ya Palestina, Hamas, imetoa wito kwa Wapalestina kuzidisha uwepo wao katika eneo la Msikiti wa Al-Aqsa mjini Al Quds (Jerusalem) ili kulinda eneo takatifu dhidi ya uvamizi wa Israel na njama za kubadilisha hadhi yake.
Habari ID: 3476260    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/17

Kombe la Dunia Qatar
TEHRAN (IQNA) - Maelfu ya mashabiki Waislamu waliohudhuria mechi ya Morocco dhidi ya Ufaransa nchini Qatar walikariri tamko la Kiislamu la imani, au shahada, siku ya Jumatano, na kutuma ujumbe kwa Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron aliyekuwa uwanjani hapo.
Habari ID: 3476258    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/16

Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA) - Harakati ya Mappambano ya Kiislamu ya Palestina Hamas ilikaribisha kupitishwa kwa azimio la Umoja wa Mataifa linalotambua mamlaka ya Palestina juu ya maliasili katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu.
Habari ID: 3476256    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/16

Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA) - Hivi karibuni utawala wa Kizayuni wa Israel uliondoa kuba na hilali ya mnara wa Ngome ya al-Quds (Jerusalem), kusini-magharibi mwa Mji Mkongwe.
Habari ID: 3476217    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/08

TEHRAN (IQNA) - Watu wamefanya maandamano katika maeneo tofauti ya Morocco ili kutoa maoni yao ya kupinga kuhalalisha uhusiano na utawala wa Kizayuni wa Israel.
Habari ID: 3476209    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/06