iqna

IQNA

Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA)- Wizara ya Afya ya Palestina imetoa ripoti yake na kusema kuwa, tangu mwanzoni mwa mwaka huu wa 2022 hadi hivi sasa, utawala wa Kizayuni wa Israel umeshaua shahidi Wapalestina 205 katika sehemu mbalimbali za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na Wazayuni.
Habari ID: 3476181    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/01

Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA) - Kundi la walowezi wa Kizayuni wenye misimamo mikali walivamia Msikiti wa Al-Aqsa huko mjini Al Quds (Jerusalem) wakiwa wametekeleza hujuma hiyo Jumapili asubuhi.
Habari ID: 3476158    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/27

Kombe la Dunia la Qatar
TEHRAN (IQNA) – Mashabiki wa Tunisia waliinua bendera ya 'Palestine Huru' dakika ya 48 dhidi ya Australia kumkumbuka Tukio la Nakba.
Habari ID: 3476156    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/27

Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA) – Harakati ya Jihad ya Kiislamu ya Palestina imesema inajiandaa kwa "vita vikubwa" na utawala wa kikoloni wa Israel unaokalia ardhi za Palestina kwa mabavu, mwanachama wa harakati hiyo alisema.
Habari ID: 3476147    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/25

Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA) – Walowezi wa Kizayuni wameshambulia misikiti miwili na kuvunja madirisha wakati wa shambulio katika kitongoji cha Bab al-Zawiya katika mji unaokaliwa wa Al-Khalil (Hebron) unaokaliwa kwa mabavu na Israel katika Ukingo wa Magharibi.
Habari ID: 3476121    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/20

Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA) - Msemaji wa Harakati ya Kiislamu ya Palestina Hamas ametoa wito kwa wananchi wa Palestina kuzidisha mapambano yao dhidi ya Wazayuni wavamizi wanaokalia ardhi za Palestina kwa mabavu hasa mji Al-Quds (Jerusalem) ili kuulinda Msikiti wa Al-Aqsa ulio mjini humo.
Habari ID: 3476110    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/18

Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA) – Wapalestina wanaendelea kulaani vikali njama za utawala haramu wa Israel za Kuyahudisha na kupotosha ukweli katika vitabu vya shule katika mji wa Quds (Jerusalem) unaokaliwa kwamabavu na utawala huo.
Habari ID: 3476068    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/10

Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA) - Kamati moja ya Palestina inasema utawala haramu wa Israel unajenga makaburi bandia karibu na Msikiti wa Al-Aqsa ili kughushi ushahidi katika siku zijazo.
Habari ID: 3476056    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/08

Kadhia ya Palestina
TEHRAN (IQNA) – Washiriki katika Mkutano wa Wakuu wa Jumuiya ya Nchi za Kiarabu nchini Algeria wamesisitiza ulazima wa kukomesha uvamizi wa utawala haramu wa Israel dhidi ya Palestina.
Habari ID: 3476028    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/03

Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA)- Mwakilishi wa Kudumu wa Qatar katika Umoja wa Mataifa leo asubuhi amehutubia katika kikao cha kiduru cha Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa na kusema: Israel inapasa kuhitimisha hatua zake za kuzikalia kwa mabavu ardhi za Waarabu ikiwemo miinuko ya Golan huko Syria, ardhi za Lebanon na Palestina.
Habari ID: 3476023    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/02

Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA) - Mawaziri watano wa zamani wa Ulaya wamezitaja sera za utawala wa Israel dhidi ya Wapalestina kama "kosa la ubaguzi wa rangi".
Habari ID: 3476018    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/01

Kuhifadhi Qur'ani Tukufu
TEHRAN (IQNA) – Katika sherehe katika ardhi ya Palestina ya Ukanda wa Gaza, wahifadhi 143 wa Qur’ani Tukufu wametunukiwa zawadi katika sherehe iliyohudhuriwa na idadi kubwa ya watu na maafisa wa serikali.
Habari ID: 3476011    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/31

Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA)- NMratibu wa Misaada ya Kibinadamu wa Umoja wa Mataifa katika Maeneo Yanayokaliwa kwa Mabavu ametangaza katika ripoti yake kwamba mwaka huu wa 2022 ulikuwa mwaka wa umwagaji damu zaidi katika ardhi za Palestina katika kipindi cha miaka 16 iliyopita.
Habari ID: 3475973    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/22

Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA) - Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imelaani uamuzi wa utawala ghasibu wa Israel kuwazuia Waislamu kuingia katika Msikiti wa Nabii Ibrahim (AS) katika mji unaokaliwa kwa mabavu wa Al Khali (Hebron) katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.
Habari ID: 3475925    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/13

Kadhia ya Palestina
TEHRAN (IQNA) - Mamlaka ya Palestina (PA) imeyataja maeneo matakatifu ya Kiislamu na Kikristo "mstari mwekundu".
Habari ID: 3475876    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/04

Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA) – Harakati ya Al-Aqsa ya Indonesia iimelaani vikalia hatua ya hivi karibuni ya walowezi wa Kizayuni wa Israel kusherehekea mwaka mpya wa Kiyahudi katika Msikiti wa Al-Aqsa huko al-Quds (Jerusalem) na Msikiti wa Ibrahimi huko Al-Khalil (Hebron).
Habari ID: 3475855    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/29

Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA)- Mjumbe mwandamizi wa ofiisi ya kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema kuwa, utawala haramu wa Israel unatumia vibaya udhaifu ambao umeugubika ulimwengu wa Kiarabu na hivyo kuudhibiti mji wa Quds (Jerusalem) na msikiti mtakatifu wa al-Aqsa ulio mjini humo.
Habari ID: 3475846    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/27

Kadhia ya Quds
TEHRAN(IQNA)- Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) ameashiria mpango wa Uingereza wa kuuhamisha ubalozi ulioko Tel Aviv hadi Quds Tukufu(Jerusalem) na kueleza kuwa: hatua hiyo haibadili kivyovyote uhakika wa kihistoria.
Habari ID: 3475835    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/24

Palestina
TEHRAN (IQNA) – Jordan itakuwa mwenyeji wa mkutano wa kimataifa kuhusu mji mtakatifu wa Al-Quds (Jerusalem) mwezi ujao.
Habari ID: 3475834    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/24

Upinzani wa Israel
TEHRAN (IQNA) - Majaji wa Algeria wamesusia mkutano wa kimataifa huko Tel Aviv, huku wakibainisha sababu ya hatua hiyo ni upinzani wao kwa mkakati wa kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala haramu wa Israel.
Habari ID: 3475802    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/18