iqna

IQNA

Mapambano dhidi ya Wazayuni
TEHRAN (IQNA)-Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon, Sayyid Hassan Nasrallah amewaonya viongozi wa utawala haramu wa Kizayuni wa Israel kwamba mauaji yoyote yatakayofanywa ndani ya ardhi ya Lebanon ya kumlenga raia wa Lebanon, Palestina au Iran au raia wa nchi nyingineyo hayatapita bila ya jibu.
Habari ID: 3477514    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/29

Jinai za Israel
AL-QUDS (IQNA) - Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) imeisitiza umuhimu wa kuhifadhi hadhi ya kihistoria na kisheria ya maeneo matakatifu ya Kiislamu na Kikristo huko al-Quds (Jerusalem).
Habari ID: 3477482    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/22

Diplomasia
ALGIERS (IQNA)- Naibu Spika wa Bunge la Algeria amesisitiza kuwa, taifa hilo la kaskazini mwa Afrika halitafuata mkumbo wa nchi nyingine za Kiarabu wa kuanzisha uhusiano wa kawaida na Israel, akisisitiza kuwa Waalgeria wanautazama utawala huo kuwa wa kikoloni.
Habari ID: 3477450    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/17

Jinai za Israel
AL-QUDS (IQNA) – Utawala haramu wa Israel unapanga kuteka maeneo ya kiakiolojia ya Wapalestina kote Ukingo wa Magharibi, Mamlaka ya Ndani ya Palestina (PA) ilionya.
Habari ID: 3477292    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/07/16

Kadhia ya Palestina
BRUSSELS (IQNA)- Katika kikao chake cha hivi karibuni kabisa, Bunge la Ulaya limeutaka Umoja wa Ulaya na nchi wanachama wa umoja huo kuitambua rasmi nchi ya Palestina.
Habari ID: 3477280    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/07/14

Mapambano
Duru za utawala wa Kizayuni wa Israel zimethibitishwa kuwa, wanajeshi watatu utawala huo wameangamizwa wengine kadhaa kujeruhiwa katika shambulio la risasi kwenye mipaka ya Misri na Palestina inayokalia kwa mabavu ambayo imepachikwa jina bandia la Israel
Habari ID: 3477103    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/06/05

Sayyid Hassan Nasrallah
TEHRAN (IQNA)- Sayyid Hassan Nasrallah, Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon amesema hakuna tena mamlaka ya kiamri ya Marekani duniani na kila kitu kinaelekea kwenye ulimwengu wa kambi kadhaa, na akaongezea kwa kusema: "na hili ndilo linaloitia wasiwasi Israel".
Habari ID: 3477049    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/26

Ukombozi wa Palestina
TEHRAN (IQNA) - Mkuu wa Harakati ya Jihad ya Kiislamu (Jihad Islami) ya Palestina alisema harakati hiyo italipiza kisasi kwa mauaji ya wanachama wake kwa kuishambulia Tel Aviv kwa moto.
Habari ID: 3477044    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/25

Muqawama
TEHRAN (IQNA) – Harakati ya Kiislamu ya Amal ya Lebanon imesisitiza haja ya umoja na mshikamano wa kitaifa nchini humo.
Habari ID: 3477042    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/25

Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA)- Mwanajeshi wa zamani wa utawala haramu na wa Kizayuni wa Israel amezirejesha funguo za Babul-Magharibah, moja ya milango ya ukuta wa magharibi wa Msikiti wa Al-Aqsa, tangu alipoziiba miaka 56 iliyopita katika mji wa Baitul Muqaddas (Jerusalem) unaokaliwa kwa mabavu na akaeleza: "hivi ndivyo Israel inapaswa kuwafanyia Wapalestina".
Habari ID: 3477032    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/22

Diplomasia
TEHRAN (IQNA)- Rais Ebrahim Raisi wa Iran ameashiria kukasirishwa utawala wa Kizayuni kufuatia kuhuishwa uhusiano kati ya Iran na Saudia na akasema: Maadui khususan utawala wa Israel wamekasirishwa na hatua hii na sababu yake ni njama wanazofanya za kueneza migawanyiko.
Habari ID: 3476951    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/03

Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA)- Makundi ya kupigania ukombozi (muqawama) Palestina yameapa kuwa yatalipiza kisasi cha damu ya Sheikh Khader Adnan aliyefia shahidi ndani ya jela ya utawala haramu wa Kizayuni wa Israel.
Habari ID: 3476946    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/02

Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA)- Wizara inayoshughulikia masuala ya Wapalestina wanaoshikiliwa mateka na walioachiwa huru imetangaza kuwa Sheikh Khader Adnan, mfungwa Mpalestina amekata roho na kufa shahidi ndani ya gereza la utawala haramu wa Kizayuni wa Israel.
Habari ID: 3476945    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/02

Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA) - Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran anasema ukombozi wa Palestina na mwisho wa hali ya janga ambalo Wapalestina wanakabiliwa nalo unakaribia kwani utawala wa Kizayuni wa Israel unaonekana kuwa dhaifu kuliko hapo awali.
Habari ID: 3476928    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/28

Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA)- Katika hali ambayo mgogoro wa Sudan pamoja na vita vinaendelea kushuhudiwa, utawala haramu wa Israel umewaalika majerali mahasimu wa Sudan kwenda Tel Aviv kwa ajili ya upatanishi.
Habari ID: 3476919    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/27

Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA) - Kundi la kutetea haki za binadamu limeonya kuhusu njama ya utawala ghasibu wa Israel kugeuza Jumba la Sala la Bab Al-Rahma katika Msikiti wa Al-Aqsa kuwa sinagogi.
Habari ID: 3476917    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/26

Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA) - Vikosi vya utawala ghasibu wa Israel siku ya Jumatatu vilimzuia mwadhini katika Msikiti wa Al-Aqsa katika jiji la Al-Quds (Jerusalem) Mashariki inayokaliwa kwa mabavu kukamilisha.
Habari ID: 3476912    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/25

Ulimwengu wa Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) imelaani vikali mashambulizi ya Wazayuni katika eneo la Babul Rahma katika Msikiti Mtakatifu wa al Aqsa.
Habari ID: 3476910    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/24

Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran
TEHRAN (IQNA)- Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Sayyid Ebrahim Raisi, ameuonya vikali utawala wa kibaguzi wa Israel kuhusu kuchukua hata hatua ndogo ya uchokozi dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu, akisema Iran itajibu uchokozi huo kwa "kuangamiza Haifa na Tel Aviv."
Habari ID: 3476884    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/18

Msikiti wa Al Aqsa
TEHRAN (IQNA) – Waislamu wapatao 250,000 wa Kipalestina walishiriki katika Sala ya mwisho ya Ijumaa ya Ramadhani 2023 katika Msikiti wa Al-Aqsa jana.
Habari ID: 3476874    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/15