Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA)- Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palesitna HAMAS amezungumzia ripoti ya jeshi la utawala wa Kizayuni baada ya utawala huo katili kumuua shahidi mwandishi Mpalestina, Shireen Abu Akleh na sawa na Wapalestina wote, ametaka utawala huo dhalimu upewe adhabu kali.
Habari ID: 3475745 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/06
Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA) - Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imeulaani utawala haramu wa Israel kwa kuruhusu kuandaliwa matamasha katika Msikiti Mkuu wa Beersheba (Biʾr as-Sab).
Habari ID: 3475727 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/03
Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA) – Jeshi katili la utawala haramu wa Israel limeua Wapalestina zaidi ya 110 na wengine wengi kujeruhiwa hadi sasa mwaka huu.
Habari ID: 3475723 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/02
Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA)- Utawala wa Kizayuni wa Israel umeendeleza jinai na chokochoko zake dhidi ya mataifa mawili ya Waislamu katika eneo hili la Asia Magharibi.
Habari ID: 3475718 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/01
Kujipenyeza Wazayuni
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Bahrain amekosoa viikali uamuzi wa utawala wa Aal Khalifa wa kuanzisha kitongoji cha walowezi wa Kiyahudi katika mji mkuu Manama na kueleza kwamba, hatua hiyo ni jinai na dhulma ya wazi dhidi ya wananchi wa nchi hiyo ya Kiarabu.
Habari ID: 3475711 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/31
Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA) - Kwa mujibu wa takwimu za hivi karibuni, utawala haramu wa Israel umewatia mbaroni zaidi ya wanawake 16,000 wa Kipalestina tangu mwaka 1967 huku mashirika ya haki yakionya kuhusu hali mbaya ya wafungwa wa kike katika jela za kuogofya za Israel.
Habari ID: 3475694 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/28
Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA) - Afisa mmoja wa Umoja wa Mataifa amesisitiza uharamu wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni wa Israel katika maeneo yanayokaliwa kwa mabavu ya Palestina na kubainisha kuwa hatua hiyo ni kikwazo kikubwa cha amani.
Habari ID: 3475685 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/26
Kususia Israel
TEHRAN-(IQNA) - Wizara ya Biashara na Mauzo ya Nje ya Tunisia imekanusha ripoti zilizochapishwa kuhusu kuwepo kwa mabadilishano ya kibiashara kati ya nchi hii na utawala wa Kizayuni wa Israel.
Habari ID: 3475681 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/25
Uungaji mkono Palestina
TEHRAN (IQNA) – Picha za kuunga mkono Palestina zilizoonyeshwa na mashabiki wa timu ya soka ya Zamalek ya Misri zimesambaa miongoni mwa watumiaji wa Kiarabu wa mitandao ya kijamii.
Habari ID: 3475660 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/21
Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA) – Vikosi vya kijeshi vya utawala haramu wa Israel vimemuua Mpalestina mmoja katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan alipokuwa akitoka msikitini kuelekea nyumbani kwake baada ya Sala ya Alfajiri
Habari ID: 3475648 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/19
Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA)- Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS imelaani vikali kuendelea kupasishwa mipango ya ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni katika ardhi zinazokaliwa kkwa mabavu za Palestina.
Habari ID: 3475640 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/18
Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA) – Kampeni ya ‘Kujitolea kwa ajili ya Gaza’ imezinduliwa na Jumuiya ya Hilali Nyekundu ya Qatar.
Habari ID: 3475631 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/16
Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA)- Utawala wa Kizayuni wa Israel umekiri kuwaua watoto watano Wapalestina katika hujuma yake ya hivi karibuni dhidi ya Ukanda wa Gaza.
Habari ID: 3475629 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/16
Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA) – Mcheza soka mashuhuri wa Ufaransa Paul Pogba ameonyesha mshikamano na Wapalestina katika Ukanda wa Gaza baada ya mashambulio ya hivi karibuni ya anga ya jeshi la utawala katili wa Israel kwenye eneo hilo na kuua shahidi Wapalestina zaidi ya 45 wakiwemo watoto 19.
Habari ID: 3475621 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/14
Mapambano ya Palestina
TEHRAN(IQNA)- Mwakilishi wa harakati ya Jihad Islami ya kupigania ukombozi wa Palestina ameishukuru Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa uungajo mkono wake kwa taifa na harakai za mapamabo ya Palestina.
Habari ID: 3475612 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/12
Mapambano dhidi ya Wazayuni
TEHRAN (IQNA)- Ayatullah Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amejibu barua ya Katibu Mkuu wa Harakati ya Jihad Islami ya Palestina na kusema, "mapambano (muqawama) ya kishujaa ya Jihad Islami yatapelekea kupanda hadhi ya harakati hii katika mapambano sambamba na kusambaratisha hadaa za utawala wa Kizayuni na kuufedhehesha utawala huo."
Habari ID: 3475609 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/11
Uuungaji mkono Palestina
IQNA (TEHRAN )- Wananchi wa Iran jana Jumanne walifanya maandamano katika mji mkuu Tehran kulaani jinai za utawala wa Kizayuni za kuwaua shahidi wanawake na watoto wa Kipalestina katika Ukanda wa Gaza.
Habari ID: 3475605 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/10
Kiongozi wa Ansarullah Yemen
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen, Sayyid Abdulmalik Badruddin Al-Houthi amesema, Imam Hussein (AS) alisimama kupambana kwa ajili ya kuuokoa Uislamu na shari ya maadui.
Habari ID: 3475598 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/09
Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA) – Idadi kubwa ya walowezi wa Kizayuni wenye itikadi kali waliuvamia na kuuvunjia heshima Msikiti wa Al-Aqsa mjini Quds (Jerusalem) mapema Jumapili wakati utawala dhalimu wa Israel uikuwa ukiwashaambulia na kuwaua Wapalestina kwa mabomu huko Gaza kwa siku ya tatu mfululizo.
Habari ID: 3475592 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/07
Ukatili wa Israel
TEHRAN (IQNA)-Harakati ya Jihad Islami ya Palestina imevurumisha makombora zaidi ya 100 katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu zilizopachikwa jina la Israel ikiwa ni katika kulipiza kisasi hatua ya utawala katili wa Israel ya kumuua kamanda wa ngazi za juu wa harakati hiyo.
Habari ID: 3475586 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/06