Ukombozi wa Palestina
TEHRAN (IQNA)- Maandamano ya Siku ya Kimataifa ya Quds yamefanyika katika kila pembe ya Iran ya Kiislamu kwa kauli mbiu kuu "Palestina mhimili wa umoja wa Ulimwengu wa Kiislamu; Quds inakaribia kukombolewa".
Habari ID: 3476864 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/14
Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA)- Kamati ya Kiislamu na Kikristo inayounga mkono Quds Tukufu (Jerusalem) na Matukufu yake imetoa wito wa kuuwajibisha utawala wa Kizayuni wa Israel kwa jinai zake dhidi ya Wapalestina.
Habari ID: 3476845 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/11
Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA)- Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, hujuma na shambulio la kinyama la vikosi vya utawala ghasibu vya Kizayuni dhidi ya waumini wa Kipalestina waliokuwa katika ibada ya itikafu katika msikiti wa Al-Aqsa kwa mara nyingine imeweka bayana sura ya kinyama na kikatili ya utawala huo na ukiukaji wa haki za binadamu.
Habari ID: 3476814 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/05
Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA)-Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) amesisitiza kuwa, damu mashahidi wa Palestina italinda utambulisho wa Kipalestina, Kiarabu na Kiislamu wa msikiti mtakatifu wa al-Aqsa ulio katika mji wa Quds au Jerusalem.
Habari ID: 3476796 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/01
Ukombozi wa Palestina
TEHRAN (IQNA) – Wapalestina ndani na nje ya nchi yao siku ya Alhamisi waliadhimisha kumbukumbu ya miaka 47 ya Siku ya Ardhi.
Habari ID: 3476788 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/31
Kusambaratika Israel
TEHRAN (IQNA) – Akiashiria sehemu ya aya ya 2 ya Sura Al Hashr katika Qur’ani Tukufu, naibu kiongozi wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amegusia mgogoro mkubwa katika utawala haramu wa Israel na kuandika: “Wakawa wanazibomoa nyumba zao kwa mikono yao na mikono ya Waumini.”
Habari ID: 3476773 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/28
Kusambaratika Israel
TEHRAN (IQNA)- Waziri Mkuu wa utawala wa haramu wa Israel, Benjamin Netanyahu amelazimika kuakhirisha utekelezaji wa mpango wake wa kile kinachoitwa 'mageuzi ya mahakama' kufuatia maandamano ya Wazayuni dhidi ya mpango huo kwa wiki 12 mfululizo.
Habari ID: 3476772 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/28
Kiongozi wa Hizbullah atahadharisha
TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amepuuzilia mbali vitisho vilivyotolewa hivi karibuni na maafisa wa utawala haramu wa Israel vya kuwepo uwezekano wa kuivamia kijeshi Lebanon na kusisitiza kuwa, uchokozi wowote wa Israel dhidi ya nchi hiyo ya Kiarabu utapata jibu la haraka.
Habari ID: 3476752 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/24
Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA)- Wawakilishi wa Bunge la Jordan wamepigia kura ya ndio pendekezo la kufukuzwa balozi wa utawala haramu wa Israel huko Amman wakilalamikia na kupinga hatua ya waziri wa fedha katika serikali ya mrengo wa kulia ya Israel, ambaye alizua utata mapema wiki hii.
Habari ID: 3476744 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/22
Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA) - Jordan inapaswa kujiandaa kwa "makabiliano ya kweli" na utawala haramu wa Israel, afisa wa zamani wa Jordan amesema.
Habari ID: 3476743 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/22
Mufti wa Oman
TEHRAN(IQNA)- Mufti wa Oman Sheikh Ahmad bin Hamad Al-Khalili amesisitiza haja ya kudumishwa amani na utangamano katika eneo la Ghuba ya Uajemi na kubainisha kwamba, makubaliano na mapatano yaliyofikiwa kati ya Iran na Saudi Arabia yameutia hofu na kiwewe utawala haramu wa Kizayuni wa Israel.
Habari ID: 3476726 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/18
Kususia utawala bandia wa Israel
TEHRAN (IQNA)- Zaidi ya vipeperushi 20,000 vinavyowahimiza Waislamu kutizama lebo yaani #CheckTheLabel na kususia bidhaa za utawala haramu wa Israel vimesambazwa katika misikiti kote Uingereza, sanjari na Ijumaa ya mwisho kabla ya mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhani, waandaaji walisema Ijumaa.
Habari ID: 3476724 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/18
Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA)- Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS imeuonya vikali utawala wa Kizayuni wa Israel usithubutu kuhujumu na kuuvamia Msikiti wa al-Aqsa katika mji wa Quds (Jerusalem) huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu na utawala huo.
Habari ID: 3476714 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/16
Kiongozi wa Hizbullah
TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon amesema, eneo bila kuwepo Israel si ndoto na matarajio tu bali ndio uhalisia utakashuhudiwa katika mustakabali.
Habari ID: 3476693 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/11
Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon
TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema matukio na maendeleo yanayoshuhudiwa hivi sasa katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu ni ishara tosha kuwa suala la kuporomoka kwa utawala wa Kizayuni wa Israel ni hakika ambayo itafanyika katika mustakabali wa karibu.
Habari ID: 3476679 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/08
Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA) - Kamishna Mkuu wa Umoja wa Mataifa wa Haki za Kibinadamu ametoa tahadhari kutokana na wito wa waziri wa utawala wa Israel ambaye ametaka kuangamizwa kwa kijiji kizima cha Wapalestina.
Habari ID: 3476657 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/04
Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA)- Mwakilishi wa Palestina katika Umoja wa Mataifa amelitaka Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa, Baraza Kuu na nchi zote duniani, kutekeleza wajibu wao wa kimataifa wa kisheria, kiutu na kimaadili ili kuwatetea watu wasio na ulinzi wa Palestina na katika mkabala wa uvamizi na hujuma za utawala haramu wa Israel.
Habari ID: 3476645 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/02
Kususia bidhaa za Israel
TEHRAN (IQNA) – Kampeni mpya ya kususia utawala wa Kizayuni imezinduliwa ili kuwataka Waislamu barani Ulaya na maeneo mengine duniani kuangalia lebo za matunda hasa tende na kuepuka kununua tende za utawala haramu wa Israel katika mwezi mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3476629 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/26
Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA)- Mufti wa Oman Sheikh Ahmed bin Hamad al-Khalili ameitaka serikali ya nchi hiyo ibatilishe uamuzi wake wa kuruhusu anga yake kutumiwa na ndege za utawala haramu wa Israel.
Habari ID: 3476626 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/26
Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA) – Idadi kubwa ya watu nchini Jordan wanakataa kutambuliwa kwa utawala wa Israel na uhusiano nao, utafiti mpya unaonyesha.
Habari ID: 3476572 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/16