TEHRAN (IQNA)-Waliowengi nchini Uingereza wana ufahamu mdogo sana kuhusu Uislamu na kwa msingi huo, zaidi ya misikiti 200 nchini humo itafungua milango yake kwa wasiokuwa Waislamu mnamo Februari 18.
Habari ID: 3471391 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/02/14
TEHRAN (IQNA)-Baraza la Waislamu Uingereza (MCB) limetangaza kuanzisha mpango mpya wa kukabiliana na ugaidi.
Habari ID: 3471366 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/01/22
TEHRAN (IQNA)_Wakaguzi wa shule nchini Uingereza wametakiwa kuwasaili wasichana Waislamu katika shule za msingi iwapo watapatikana wamevaa mtandio au vazi la Hijabu wakiwa shuleni.
Habari ID: 3471271 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/11/20
TEHRAN (IQNA)-Wafungwa Waislamu na wale wenye asili ya Afrika ndio wanaodhulumiwa zaidi katika jela za Uingereza.
Habari ID: 3471223 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/10/20
TEHRAN (IQNA)-Mtu moja aliyemsikia mwanachama wa chama chenye chuki dhidi ya Uislamu akiwataka watu waisome Qur'ani kwa lengo la kuikosoa alifuata ushauri huo lakini kinyume na ilivyotarajiwa, alipata muongozo na kusilimu.
Habari ID: 3471204 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/10/04
TEHRAN (IQNA)-Uchunguzi mpya wa hivi karibuni unaonyesha kwamba, vijana Waislamu wanaoishi nchini Uingereza wamekuwa waathirika wakubwa wa vitendo vya chuki dhidi ya Uislamu na ubaguzi kuanzia shuleni, vyuo vikuu na hata maeneo ya kazi.
Habari ID: 3471164 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/09/09
TEHRAN (IQNA)-Baraza la Waislamu Uingereza linataka gazeti la The Sun nchini humo lichukuliwe hatua kwa kuandika makala yenye kuchochea hisia dhidi ya Waislamu.
Habari ID: 3471137 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/08/23
TEHRAN (IQNA)-Mwanamke Mwislamu muuguzi katika eneo la Staffordshire Uingereza amehujumiwa na gaidi mwenye chuki dhidi ya Uislamu aliyejaribu kumnyonga bila mafanikio.
Habari ID: 3471095 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/08/01
TEHRAN (IQNA)-Zaidi ya Waislamu zaidi ya 100,000 wameshiriki katika Sala ya Idul Fitr Jumapili katika bustani moja Uingereza na kuufanya mjumuiko huwa kuwa mkubwa zaidi wa sala ya Idi barani Ulaya.
Habari ID: 3471038 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/06/27
TEHRAN (IQNA)-Uingereza ni makaazi ya jamii anui ya Waislamu kutoka karibu pembe zote za dunia.
Habari ID: 3471001 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/05/30
TEHRAN (IQNA)-Mji wa Oxford nchini Uingereza utakuwa mwenyeji wa kongamano la kimataifa la Qur'ani Tukufu baadaye mwaka huu.
Habari ID: 3470912 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/03/29
Uchunguzi wa Maoni
IQNA: Uchunguzi wa maoni umebaini kuwa Waislamu wengi Uingereza wanaamini kuwa serikali ya Marekani ndiyo iliyotekeleza hujuma za kigaidi nchini humo Septemba 11, 2001.
Habari ID: 3470715 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/12/04
IQNA-Zaidi ya zaidi ya vituo vya Kiislamu na misikiti 100 imehujumiwa nchini Uingereza katika kipindi cha miaka minne iliyopita.
Habari ID: 3470690 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/11/22
Mwanamke Mwislamu aliyekamatwa Uingereza kwa kusoma kitabu kuhusu Syria ameazimia kuwasilisha kesi kulalamikia namna alivyo dhalilishwa na wahudumu wa ndege pamoja na askari wa kupambana na ugaidi.
Habari ID: 3470494 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/08/04
Kongamano la Kimataifa kuhusu masomo ya Qur'ani Tukufu limemalizika katika mji wa Manchester nchini Uingereza.
Habari ID: 3470463 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/07/18
Waislamu nchini Uingereza wamebainisha hofu ya kuhusu kuteuliwa Bi.Theresa May kama Waziri Mkuu kutokana na sera zake haribifu kwa jamii ya Waislamu nchini humo.
Habari ID: 3470454 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/07/14
Wabunge Uingereza
Wabunge nchini Uingereza wameutaka utawala wa Saudia na nchi nyingine za Kiarabu zizuie matajiri wa nchi hizo kulifadhili kundi la kigaidi la ISIS au Daesh.
Habari ID: 3470452 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/07/13
Sala ya Idul Fitri imefutwa katika mji mwa Southampton Uingereza kufuatia ripoti kuwa makundi ya watu wenye misimamo mikali wenye chuki dhidi ya Waislamu wanapanga kuvuruga sala hiyo.
Habari ID: 3470428 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/07/02
Mbunge wa chama cha upinzani cha Leba Uingereza, Bi. Jo Cox na ambaye alikuwa muungaji mkono Wapalestina amepigwa risasi na kuuawa.
Habari ID: 3470393 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/06/17
Sadiq Khan wa chama kikuu cha upinzani cha Leba nchini Uingereza amechaguliwa kuwa Meya wa mji wa London na hivyo kuwa Meya wa kwanza Mwislamu kuuongoza mji huo mkuu.
Habari ID: 3470297 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/05/07