iqna

IQNA

Kiongozi wa Ansarullah
TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen amesema Marekani, utawala haramu wa Israel na Uingereza ndio wahandisi wa kushambuliwa na kukaliwa kwa mabavu taifa la Yemen tokea mwaka 2015 hadi sasa.
Habari ID: 3475076    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/26

TEHRAN (IQNA)- Waislamu wa London wanasubiri kwa hamu tamasha la chakula na ununuzi linalotarajiwa kabla ya kuanza kwa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani mwaka huu - na takriban watu 20,000 watahudhuria.
Habari ID: 3475073    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/24

TEHRAN (IQNA) – Huku Waislamu kote Uingereza wakihangaika kujikimu, Mfuko wa Kitaifa wa Zakat (NZF) umeripoti ongezeko la asilimia 90 la maombi ya mahitaji muhimu kama vile chakula na nguo ikilinganishwa na mwaka jana.
Habari ID: 3475042    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/14

Chuki dhidi ya Uislamu
TEHRAN (IQNA)- Mwanamke mmoja Muislamu ameuhujumiwa akiwa ndani ya treni mjini London ambapo Hijabu yake imevutwa na mtu anayeaminikwa kuwa ni mwenye chuki dhidi ya Uislamu.
Habari ID: 3474960    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/22

TEHRAN (IQNA)- Wanafuzni Waislamu katika Shule ya Upili ya Park High mtaa wa Stanmore nchini London wanasema mwalimu mmoja shuleni hapo amewanyima idhini ya kusali Sala ya Ijumaa katika uwanja wa shule.
Habari ID: 3474857    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/01/26

TEHRAN (IQNA)- Kadhia ya chuki dhidi ya Uislamu na kubaguliwa Waislamu katika nchi za Ulaya ikiwemo Uingereza imeshika kasi katika miaka ya hivi karibuni. Chuki hizi dhidi ya Uislamu sasa zimefika hata katika ngazi rasmi za serikali.
Habari ID: 3474845    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/01/24

TEHRAN (IQNA)- Kituo cha zamani cha polisi katika mji wa Cardiff eneo la Wales nchini Uingereza kitabadilishwa kuwa msikiti.
Habari ID: 3474840    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/01/23

TEHRAN (IQNA)- Msikiti wa Jamia mjini Glasgow, Scotland sasa ni kituo cha kuwadunga watu dozi ya tatu ya chanjo ya COVID-19.
Habari ID: 3474736    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/28

TEHRAN (IQNA) – Jumuiya ya Waislamu Windsor wanatafakari kufungua kesi katika Mahakama Kuu ya Uingereza baada ya kunyimwa idhini ya kujenga msikiti katika mji wa Windsor.
Habari ID: 3474683    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/16

TEHRAN (IQNA)- Kumezinduliwa mpango wa kujenga makaburi makubwa zaidi ya Waislamu barani Ulaya huko Uingereza katika eneo eneo la Blackburn, Lancashire.
Habari ID: 3474602    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/26

TEHRAN (IQNA)- Katika kuendeleza siasa zake dhidi ya taifa la Palestina na kuunga mkono utawala haramu wa Israel, Uingereza imetuhumu na kuitangaza Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Paletina Hamas kuwa ni kundi la kigaidi.
Habari ID: 3474590    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/23

TEHRAN (IQNA)- Arsenal ambayo ni Timu maarufu ya Ligi Kuu ya Soka Uingereza (EPL) itamtimua mchezaji Muislamu Mohamed Elneny kutokana na misimamo yake ya kuunga mkono ukombozi wa Palestina.
Habari ID: 3474586    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/21

Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imetoa taarifa ya kulaani uamuzi uliojaa chuki wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Uingereza wa kuiweka harakati hiyo katika orodha ya 'makundi ya kigaidi.'
Habari ID: 3474577    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/19

TEHRAN (IQNA)- Mwenyekiti wa msikiti mmoja mjini London amebainisha masikitiko yake kuhusu kuongezeka ubaguzi na bughudha dhidi ya wanawake Waislamu.
Habari ID: 3474522    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/06

TEHRAN (IQNA)- Mkutano mkuu wa chama cha Leba nchini Uingereza umepigia kura na kupitisha hoja ya kuitambua Israel kuwa ni utawala unaotenda jinai ya ubaguzi wa Apathaidi, na kukifanya kuwa chama cha kwanza kikubwa cha siasa barani Ulaya kuchukua msimamo huo dhidi ya utawala haramu wa Kizayuni.
Habari ID: 3474349    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/27

TEHRAN (IQNA) - Polisi wanachunguza shambulio la kuchoma moto msikiti huko Greater Manchester, Uingereza.
Habari ID: 3474286    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/12

IQNA (TEHRAN)- Mafundisho ya Qur'ani Tukufu ndio chanzo cha Waislamu wengi nchini Uingereza kujitolea katika kampeni ya kukabiliana na janga la corona au COVID-19.
Habari ID: 3474184    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/12

TEHRAN (IQNA)- Ripoti mpya zimebaini kuwa chuki dhidi ya Uislamu yaani Islamophobia imeongezeka nchini Uingereza kwa asilimia 430 kati ya Mei 8-17 ikilinganishwa na wiki moja kabla na ongezeko hilo linatokana na hujuma ya hivi karibuni ya utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Wapalestina hasa katika Ukanda wa Ghaza.
Habari ID: 3473946    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/25

TEHRAN (IQNA)- Msomi na mhubiri wa Kiislamu kutoka Ghana amefanikiwa kuwashajiisha Waislamu wengi nchini Uingereza na kwingineko kukubali chanjo ya COVID-19 au corona.
Habari ID: 3473861    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/29

TEHRAN (IQNA)- Serikali ya Uingereza imetakiwa itambue rasmi uwepo wa tatizo la chuki dhidi ya Uislamu yaani Islamophobia ili ikabiliane na tatizo hilo.
Habari ID: 3473786    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/05