iqna

IQNA

Chuki dhidi ya Uislamu
IQNA – Ripoti ya Ofisi ya Mambo ya Ndani Uingereza imefichua ongezeko la karibu 40% ya vitendo vya chuki za kidini huwa zinawalenga Waislamu katika maeneo ya England na Wales.
Habari ID: 3479579    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/12

Waislamu Uingereza
IQNA - Takriban mashirika 80 ya Kiislamu na viongozi wa jamii za Waislamu wametoa wito kwa serikali ya Uingereza kuchukua hatua madhubuti ili kukabiliana na ongezeko la chuki dhidi ya Uislamu nchini humo.
Habari ID: 3479352    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/30

Waislamu Uingereza
IQNA -Kuna wasiwasi unaoongezeka miongoni mwa Waislamu wa Uingereza kuhusu usalama wao baada ya ghasia za hivi majuzi nchini humo.
Habari ID: 3479295    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/18

Waislamu Uingereza
IQNA - Mwanamume mmoja amerekodiwa kwenye video akirusha maneno ya chuki dhidi ya Uislamu na kumtemea mate dereva wa basi Muislamu mjini London huku kukiwa na ongezeko la ghasia dhidi ya Waislamu katika nchi hiyo ya Ulaya.
Habari ID: 3479249    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/09

Machafuko Uingereza
IQNA: Waziri wa Mambo ya Ndani wa Uingereza, Yvette Cooper, siku ya Jumatatu alibainisha chuki dhidi ya Uislamu kama kichocheo cha ghasia za hivi karibuni za wazungu wenye misimamo mikali wa mrengo wa kulia katika miji kadhaa, ambayo imesababisha uharibifu mkubwa na karibu watu 400 kukamatwa.
Habari ID: 3479237    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/06

Chuki dhidi ya Uislamu
IQNA – Tukio la Muislamu kudungwa kisu katika kituo cha treni cha Blundellsands & Crosby huko Liverpool limeacha jamii ya Waislamu wa jiji hilo katika mshtuko huku Waislamu kote Uingereza sasa wanahofia usalama wao huku kukiwa na maandamano ya magenge ya watu wenye misimamo mikali ya chuki ya mrengo wa kulia.
Habari ID: 3479222    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/03

Chuki dhidi ya Uislamu
IQNA - Vichwa vitatu vya nguruwe vimepatikana nje ya shule mbili na kituo cha vijana huko Rainham, Uingereza vikiambatana na maandishi ya chuki dhidi Uislamu.
Habari ID: 3479192    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/07/27

Watetezi wa Palestina
IQNA-Waziri Kiongozi wa Scotland Humza Yousaf ameitaka Serikali ya Uingereza kusitisha uuzaji wa silaha kwa utawala wa Israel kutokana na utawala huo wa Kizayuni kuendeleza mauaji ya kimbari ya raia Wapalestina katika Ukanda Gaza.
Habari ID: 3478417    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/26

Waislamu Uingereza
IQNA - Chama tawala cha Wahafidhina (Conservative) nchini Uingereza kimemsimamisha kazi mmoja wa wabunge wake kufuatia maoni ya chuki dhidi ya Uislamu dhidi ya meya wa London.
Habari ID: 3478415    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/26

Chuki dhidi ya Uislamu Uingereza
IQNA - Idadi kubwa ya matukio ya chuki dhidi ya Waislamu na Uislamu yameripotiwa nchini Uingereza tangu kuanza kwa vita vya mauaji ya kimbari vya Israel dhidi ya Gaza, kulingana na kundi linalofuatilia visa kama hivyo.
Habari ID: 3478403    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/23

Waislamu Uingereza
IQNA - Waziri Mkuu wa Uingereza Rishi Sunak alihimizwa kuomba msamaha lakini alikataa kufanya hivyo baada ya kutumia matamshi ya chuki dhidi ya Uislamu (Islamophobia) dhidi ya Zarah Sultana, mbunge Muislamu wa chama cha Leba.
Habari ID: 3478206    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/17

Mgogor
IQNA-Msemaji wa majeshi ya Yemen, Brigedia Jenerali Yahya Sarii amesema kuwa, mashambulizi ya kiuadui ya Marekani na Uingereza hayatobadilisha msimamo wa Yemen wa kuliunga mkono taifa la Palestina ikiwemo Gaza na kwamba uadui huo uliofanyika mapema leo Ijumaa dhidi ya Yemen hautoachwa vivi hivi bila ya majibu na kuadhibiwa madola hayo ya kibeberu.
Habari ID: 3478186    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/12

Chuki dhidi ya Uislamu
IQNA - Kumekuwa na ongezeko mara saba la mashambulizi ya chuki dhidi ya Uislamu (Islamophobia) nchini Uingereza kutoka Oktoba 7 hadi Desemba 13. Hayo ni kwa mujibu wa taasisi ya Tell MAMA ambayo iafuatilia matukio ya chuki dhidi ya Uislamu nchini Uingereza.
Habari ID: 3478073    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/22

Sekta ya Halal
LONDON (IQNA) - Kampeni ya kupigia debe nyama ya 'Halal', yaani iliyochinjwa kwa mujibu wa mafundisho ya Kiislamu, nchini Uingereza imezinduliwa.
Habari ID: 3477651    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/09/25

Waislamu Uingereza
LONDON (IQNA) - 'Siku ya Ustawi wa Jamii' itafanyika katika Msikiti wa Madina huko Blackburn nchini Uingereza, ikilenga kuongeza uelewa wa hali mbalimbali za kiafya na saratani, huku pia ikichangisha fedha kwa ajili ya waathirika wa tetemeko la ardhi nchini Morocco.
Habari ID: 3477603    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/09/15

Waislamu Uingereza
LONDON (IQNA) - Kampeni iliyopewa jina la "Tembelea Msikiti Wangu" ilizinduliwa Jumatatu kwa mwaka wake wa nane nchini Uingereza.
Habari ID: 3477551    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/09/05

Watetezi wa Qur'ani Tukufu
TEHRAN (IQNA)- Wasomi mashuhuri nchini Uingereza wamelaani vitendo vya kuchoma moto Qur'ani Tukufu katika nchi za Skandinavia na kusisitiza kuwa, vitendo hivyo vya uchupaji mipaka vinapaswa kukomeshwa.
Habari ID: 3477387    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/06

Chuki dhidi ya Uislamu
LONDON (IQNA) - Matukio ya chuki dhidi ya Uislamu nchini Uingereza yameongezeka zaidi ya mara mbili katika muongo mmoja.
Habari ID: 3477312    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/07/20

Waislamu Uingereza
LONDON (IQNA) – Masjid E Saliheen, msikiti wa Blackburn, utaandaa siku ya tafrija na kufurahisha familia wikendi hii ili kusaidia kuchangisha fedha za kuboresha vifaa vya mazishi.
Habari ID: 3477301    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/07/18

Njama za Mabeberu
TEHRAN (IQNA)- Katika hali ambayo, Saudi Arabia na Yemen zimepiga hatua muhimu kwa ajili ya kuhitimisha vita vya Yemen, mashinikizo ya serikali ya Marekani kwa utawala wa Riyadh yamekuwa kikwazo na kizingiti kikuu cha kuhitimishwa vita hivyo.
Habari ID: 3476947    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/02