TEHRAN (IQNA)- Mwenyekiti wa msikiti mmoja mjini London amebainisha masikitiko yake kuhusu kuongezeka ubaguzi na bughudha dhidi ya wanawake Waislamu.
Habari ID: 3474522 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/06
TEHRAN (IQNA)- Mkutano mkuu wa chama cha Leba nchini Uingereza umepigia kura na kupitisha hoja ya kuitambua Israel kuwa ni utawala unaotenda jinai ya ubaguzi wa Apathaidi, na kukifanya kuwa chama cha kwanza kikubwa cha siasa barani Ulaya kuchukua msimamo huo dhidi ya utawala haramu wa Kizayuni.
Habari ID: 3474349 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/27
TEHRAN (IQNA) - Polisi wanachunguza shambulio la kuchoma moto msikiti huko Greater Manchester, Uingereza.
Habari ID: 3474286 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/12
IQNA (TEHRAN)- Mafundisho ya Qur'ani Tukufu ndio chanzo cha Waislamu wengi nchini Uingereza kujitolea katika kampeni ya kukabiliana na janga la corona au COVID-19.
Habari ID: 3474184 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/12
TEHRAN (IQNA)- Ripoti mpya zimebaini kuwa chuki dhidi ya Uislamu yaani Islamophobia imeongezeka nchini Uingereza kwa asilimia 430 kati ya Mei 8-17 ikilinganishwa na wiki moja kabla na ongezeko hilo linatokana na hujuma ya hivi karibuni ya utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Wapalestina hasa katika Ukanda wa Ghaza.
Habari ID: 3473946 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/25
TEHRAN (IQNA)- Msomi na mhubiri wa Kiislamu kutoka Ghana amefanikiwa kuwashajiisha Waislamu wengi nchini Uingereza na kwingineko kukubali chanjo ya COVID-19 au corona.
Habari ID: 3473861 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/29
TEHRAN (IQNA)- Serikali ya Uingereza imetakiwa itambue rasmi uwepo wa tatizo la chuki dhidi ya Uislamu yaani Islamophobia ili ikabiliane na tatizo hilo.
Habari ID: 3473786 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/05
TEHRAN (IQNA) – Waislamu nchini Uingereza wanatoa msaada kwa mamia ya watu ambao wamekumbwa na matatizo ya kumudu mahitaji ya kimaisha katika kipindi hiki cha janga la COVID-19 au corona nchini humo.
Habari ID: 3473557 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/01/14
TEHRAN (IQNA) – Wanachama Waislamu katika chama cha Leba cha Uingereza wamesema wameshuhudia chuki dhidi ya Uislamu katika chama hicho kikubwa zaidi Uingereza.
Habari ID: 3473362 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/15
TEHRAN (IQNA) – Polisi nchini Uingereza wanafanya uchunguzi baada ya msikiti kuhujumiwa nchini Uingereza katika mji wa Norwich.
Habari ID: 3473004 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/27
TEHRAN (IQNA) - Waziri Mkuu wa Uingereza Boris Johnson amesema nchi yake inapinga hatu aya utawala wa Kizayuni wa Israel kuteka eneo zaidi la Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.
Habari ID: 3472919 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/01
TEHRAN (IQNA) – Nakala nadra ya kale ya Qur’ani Tukufu iliyoandikwa Iran katika karatasi ya Kichina imeuzwa kwa pauni za Uingereza milioni saba katika mnada mjini London
Habari ID: 3472904 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/06/27
TEHRAN (IQNA)- Mpango wa kila mwaka wa kuwaalika wasiokuwa Waislamu kutembelea misikiti nchini Uingereza mwaka huu umefutwa kutokana na kuibuka ugonjwa wa COVID-19 lakini pamoja na hayo kumezinduliwa mpango wa kutembelea misikiti kupitia intaneti.
Habari ID: 3472877 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/06/18
TEHRAN (IQNA)- Jaji wa kwanza Muislamu mwenye kuvaa Hijabu ameteuliwa katika mfumo wa mahakama nchini Uingereza.
Habari ID: 3472794 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/05/23
TEHRAN (IQNA) – Idadi kubwa ya Waislamu wamefariki kutokana na ugonjwa wa corona nchini Uingereza na hilo linabainika wazi katika makaburi ya Waislamu.
Habari ID: 3472658 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/04/12
TEHRAN (IQNA) – Makundi ya wabaguzi wenye misimamo mikali wa mrengo wa kulia yanatumia janga la ugonjwa wa COVID-19 au corona kueneza chuki dhidi ya Waislamu nchini Uingereza.
Habari ID: 3472640 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/04/06
TEHRAN (IQNA) - Waziri Mkuu wa Uingereza, Boris Johnson ameambukizwa ugonjwa hatari wa COVID-19 au corona unaoenea kwa kasi kubwa dunia nzima.
Habari ID: 3472607 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/03/27
TEHRAN (IQNA)- Bunge la Uingereza, House of Commons, litaanza kuuza chakula Halali, ambacho kimetayarishwa kwa misingi ya mafundisho ya Kiislam, kuanzia Machi 30 kufuatia ombi la wabunge Waislamu.
Habari ID: 3472568 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/03/15
TEHRAN (IQNA) – Hatua ya kujiuzulu Sajid Javid, waziri Muislamu wa ngazi za juu zaidi katika chama tawala cha Kihafihdhina (Conservative) cha Uingereza imepelekea chama hicho kutuhumiwa kuwa kinachochea hisia za chuki dhidi ya Uislamu (Islamophobia) .
Habari ID: 3472476 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/02/16
TEHRAN (IQNA) – Baraza la Shura (Mashauriano) la Jumuiya ya Waislamu Uingereza limemchagua Bi. Raghad Al Tikriti kuwa mwenyekiti wake mpya.
Habari ID: 3472398 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/01/23