uingereza

IQNA

IQNA – Jeshi la Polisi la Leicestershire nchini Uingereza limeanza kutumia hijabu maalumu kwa maafisa wa kike Waislamu, likishirikiana na Chuo Kikuu cha De Montfort (DMU).
Habari ID: 3481616    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/05

IQNA-Katika kikao cha maswali ya kila wiki bungeni, Waziri Mkuu wa Uingereza Keir Starmer alitangaza kuwa chuki dhidi ya Waislamu ni jambo la kuchukiza na halina nafasi katika jamii.
Habari ID: 3481542    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/11/20

IQNA – Mashambulio dhidi ya misikiti nchini Uingereza yameripotiwa kuongezeka kwa kasi katika miezi ya hivi karibuni, huku ripoti mpya ikihusisha ongezeko hilo na harakati za utaifa zinazotumia alama za Kikristo na za Uingereza katika vitendo vya vitisho.
Habari ID: 3481487    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/11/08

IQNA- Kufuatia ongezeko kubwa la uhalifu wa chuki dhidi ya Waislamu nchini Uingereza, serikali inatarajiwa kutangaza ufafanuzi mpya wa neno “'Chuki Dhidi ya Uislamu' (Islamophobia)”—ambapo huenda likabadilishwa na kuwa “chuki dhidi ya Waislamu.”
Habari ID: 3481402    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/10/23

IQNA – Hukumu dhidi ya mwanaume aliyepigwa faini kwa kuchoma nakala ya Qur'an nje ya ubalozi wa Uturuki jijini London imebatilishwa kwa kisingizio cha eti “uhuru wa kujieleza.”
Habari ID: 3481354    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/10/11

Msikiti wa Jamia Syeda Fatima Al-Zahra ulioko Bank Lane, Blackburn, ambao kwa sasa unaendesha shughuli zake ndani ya jengo la baa ya zamani, umepata kibali cha kubomoa jengo hilo na kujenga kituo kipya cha Kiislamu cha ghorofa mbili.
Habari ID: 3481346    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/10/10

IQNA – Polisi nchini Uingereza wameanzisha uchunguzi kuhusu tukio linaloshukiwa kuwa shambulio la kuchoma moto kwa chuki dhidi ya Msikiti wa Peacehaven, ulioko East Sussex, usiku wa Jumamosi.
Habari ID: 3481332    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/10/05

IQNA – Misikiti kote Uskochi au Scotland nchini Uingereza imeongeza kwa kiwango kikubwa hatua za kiusalama, ikiwemo kuajiri walinzi binafsi na kuweka ulinzi wa saa 24, kufuatia njama ya kigaidi iliyozimwa na ongezeko la mashambulizi ya chuki dhidi ya Uislamu.
Habari ID: 3481230    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/14

IQNA – Kitendo cha kuvunjwa kwa madirisha ya Msikiti wa Taunton, nchini Uingereza, kimezua hasira na huzuni miongoni mwa wanajamii wa eneo hilo, huku polisi wakikitaja tukio hilo kuwa ni uhalifu wa chuki unaochochewa na misingi ya kidini au ya rangi.
Habari ID: 3481226    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/13

IQNA – Uharibifu wa msikiti mmoja huko Basildon wiki iliyopita umekemewa vikali na umeibua wasiwasi mpya kuhusu kuongezeka kwa chuki dhidi ya Uislamu (Islamophobia) nchini Uingereza.
Habari ID: 3481175    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/02

IQNA- Maandamano yafanyika Uingereza kulaani  mauaji ya kimbari yanayotekelezwa na Israel dhidi ya Gaza Maandamano makubwa yamefanyika nje ya ubalozi wa utawala wa Israel mjini London, Uingereza kulaani mauaji ya kimbari yanayotekelezwa na utawala huo dhidi ya Wapalestina katika Ukanda wa Gaza.
Habari ID: 3481127    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/24

IQNA – Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar cha Kufuatilia na Kupambana na Misimamo Mikali kimelaani kitendo cha chuki kilichotokea hivi karibuni katika msikiti wa Oxford, nchini Uingereza na kuonya kwamba matendo ya aina hiyo huchochea uhasama na ni “tishio la moja kwa moja kwa mshikamano wa kijamii.”
Habari ID: 3481120    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/22

IQNA – Polisi nchini Uingereza wameanzisha uchunguzi kupitia kamera za usalama (CCTV) kufuatia tukio lililoripotiwa la matusi ya maneno dhidi ya waumini nje ya msikiti ulioko Haverhill, Suffolk.
Habari ID: 3480931    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/12

IQNA-Miaka ishirini baada ya mashambulizi ya 7/7 mjini London, Waislamu wa Uingereza bado wanahisi athari za kihisia na kijamii.
Habari ID: 3480910    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/07

IQNA – Ripoti mpya iliyotolewa Jumatatu imetoa wito kwa serikali ya Uingereza kuweka mkakati wa kitaifa wa pamoja kupambana na kuongezeka kwa cChuki Dhidi ya Uislamu (Islamophobia), ikionya kuwa mgawanyiko unaozidi katika jamii unadhoofisha imani ya wananchi kwa taasisi za umma na kutishia mshikamano wa kitaifa.
Habari ID: 3480819    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/06/10

IQNA-Zaidi ya watu mashuhuri 300, wakiwemo waigizaji, wanamuziki na wanaharakati, wametuma barua kwa Waziri Mkuu wa Uingereza, Keir Starmer, wakimtaka asitishe uungaji mkono wa Uingereza kwa Israel katika vita vyake vya mauaji ya kimbari dhidi ya Gaza.
Habari ID: 3480758    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/30

IQNA – Mwanaume mmoja kutoka mji wa Widnes, Uingereza, amekamatwa na kufunguliwa mashtaka kuhusiana na tukio la wizi katika msikiti wa Warrington.
Habari ID: 3480525    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/11

IQNA – Jumuiya ya Kiislamu ya Altrincham & Hale imetangaza mipango ya kuhamia kutoka eneo lake la sasa kwenye Grove Lane kwenda kwenye Kituo cha Kiislamu na msikiti kilichojengwa mahsusi kwenye Thorley Lane huko Timperley. 
Habari ID: 3480481    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/01

IQNA – Kama miaka iliyopita, tukio la Futari Kubwa litafanyika katika mji wa Bristol, Uingereza, mwaka huu. 
Habari ID: 3480428    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/24

IQNA-Idadi ya matukio na vitendo vya chuki dhidi ya Uislamu na Waislamu nchini Uingereza iliongezeka kufikia kiwango cha juu zaidi mwaka 2024. Hayo ni kwa mujibu wa taarifa zilizokusanywa na shirika la ufuatiliaji la Tell MAMA, ambalo limesema vita vya Gaza "vimechochea kupita kiasi" masuala ya chuki dhidi ya Waislamu kwenye mitandao ya kijamii.
Habari ID: 3480241    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/02/19