uingereza

IQNA

IQNA – Misikiti kote nchini Uingereza imehimizwa kufanya mazoezi ya taratibu za kujifungia (lockdown) na kuimarisha hatua za usalama kufuatia mwongozo mpya wa kitaifa, huku viongozi wa jamii wakionya juu ya kuongezeka kwa matukio ya chuki dhidi ya Uislamu na shughuli za makundi ya mrengo mkali wa kulia.
Habari ID: 3482375   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/06/19

IQNA – Kwa zaidi ya miaka 50, Chama cha Leba kimekuwa kikichukulia Newham, Uingereza kama ngome yake salama ya kisiasa.
Habari ID: 3482170   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/04/27

IQNA — Hujuma kubwa ilizuiwa Jumanne jioni katika Msikiti wa Kati wa Manchester, pale wajitolea waliokuwa makini walipomkabili na kumzuia mwanamume aliyeingia msikitini wakati wa swala za Tarawehe, akiwa amebeba begi lenye shoka, nyundo na kisu.
Habari ID: 3481997   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/02/26

IQNA – Wakati wengi walikusanyika na familia zao, milango ya msikiti mmoja mjini Bradford, kaskazini mwa Uingereza, ilifunguliwa kuwapokea wale ambao vinginevyo wangebaki peke yao.
Habari ID: 3481744   Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/31

IQNA – Kugundua kuwa mtoto wako amekutana na hotuba ya chuki dhidi ya Uislamu mtandaoni ni jambo linaloweza kutisha.
Habari ID: 3481704   Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/23

IQNA – Jeshi la Polisi la Leicestershire nchini Uingereza limeanza kutumia hijabu maalumu kwa maafisa wa kike Waislamu, likishirikiana na Chuo Kikuu cha De Montfort (DMU).
Habari ID: 3481616   Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/05

IQNA-Katika kikao cha maswali ya kila wiki bungeni, Waziri Mkuu wa Uingereza Keir Starmer alitangaza kuwa chuki dhidi ya Waislamu ni jambo la kuchukiza na halina nafasi katika jamii.
Habari ID: 3481542   Tarehe ya kuchapishwa : 2025/11/20

IQNA – Mashambulio dhidi ya misikiti nchini Uingereza yameripotiwa kuongezeka kwa kasi katika miezi ya hivi karibuni, huku ripoti mpya ikihusisha ongezeko hilo na harakati za utaifa zinazotumia alama za Kikristo na za Uingereza katika vitendo vya vitisho.
Habari ID: 3481487   Tarehe ya kuchapishwa : 2025/11/08

IQNA- Kufuatia ongezeko kubwa la uhalifu wa chuki dhidi ya Waislamu nchini Uingereza, serikali inatarajiwa kutangaza ufafanuzi mpya wa neno “'Chuki Dhidi ya Uislamu' (Islamophobia)”—ambapo huenda likabadilishwa na kuwa “chuki dhidi ya Waislamu.”
Habari ID: 3481402   Tarehe ya kuchapishwa : 2025/10/23

IQNA – Hukumu dhidi ya mwanaume aliyepigwa faini kwa kuchoma nakala ya Qur'an nje ya ubalozi wa Uturuki jijini London imebatilishwa kwa kisingizio cha eti “uhuru wa kujieleza.”
Habari ID: 3481354   Tarehe ya kuchapishwa : 2025/10/11

Msikiti wa Jamia Syeda Fatima Al-Zahra ulioko Bank Lane, Blackburn, ambao kwa sasa unaendesha shughuli zake ndani ya jengo la baa ya zamani, umepata kibali cha kubomoa jengo hilo na kujenga kituo kipya cha Kiislamu cha ghorofa mbili.
Habari ID: 3481346   Tarehe ya kuchapishwa : 2025/10/10

IQNA – Polisi nchini Uingereza wameanzisha uchunguzi kuhusu tukio linaloshukiwa kuwa shambulio la kuchoma moto kwa chuki dhidi ya Msikiti wa Peacehaven, ulioko East Sussex, usiku wa Jumamosi.
Habari ID: 3481332   Tarehe ya kuchapishwa : 2025/10/05

IQNA – Misikiti kote Uskochi au Scotland nchini Uingereza imeongeza kwa kiwango kikubwa hatua za kiusalama, ikiwemo kuajiri walinzi binafsi na kuweka ulinzi wa saa 24, kufuatia njama ya kigaidi iliyozimwa na ongezeko la mashambulizi ya chuki dhidi ya Uislamu.
Habari ID: 3481230   Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/14

IQNA – Kitendo cha kuvunjwa kwa madirisha ya Msikiti wa Taunton, nchini Uingereza, kimezua hasira na huzuni miongoni mwa wanajamii wa eneo hilo, huku polisi wakikitaja tukio hilo kuwa ni uhalifu wa chuki unaochochewa na misingi ya kidini au ya rangi.
Habari ID: 3481226   Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/13

IQNA – Uharibifu wa msikiti mmoja huko Basildon wiki iliyopita umekemewa vikali na umeibua wasiwasi mpya kuhusu kuongezeka kwa chuki dhidi ya Uislamu (Islamophobia) nchini Uingereza.
Habari ID: 3481175   Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/02

IQNA- Maandamano yafanyika Uingereza kulaani  mauaji ya kimbari yanayotekelezwa na Israel dhidi ya Gaza Maandamano makubwa yamefanyika nje ya ubalozi wa utawala wa Israel mjini London, Uingereza kulaani mauaji ya kimbari yanayotekelezwa na utawala huo dhidi ya Wapalestina katika Ukanda wa Gaza.
Habari ID: 3481127   Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/24

IQNA – Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar cha Kufuatilia na Kupambana na Misimamo Mikali kimelaani kitendo cha chuki kilichotokea hivi karibuni katika msikiti wa Oxford, nchini Uingereza na kuonya kwamba matendo ya aina hiyo huchochea uhasama na ni “tishio la moja kwa moja kwa mshikamano wa kijamii.”
Habari ID: 3481120   Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/22

IQNA – Polisi nchini Uingereza wameanzisha uchunguzi kupitia kamera za usalama (CCTV) kufuatia tukio lililoripotiwa la matusi ya maneno dhidi ya waumini nje ya msikiti ulioko Haverhill, Suffolk.
Habari ID: 3480931   Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/12

IQNA-Miaka ishirini baada ya mashambulizi ya 7/7 mjini London, Waislamu wa Uingereza bado wanahisi athari za kihisia na kijamii.
Habari ID: 3480910   Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/07

IQNA – Ripoti mpya iliyotolewa Jumatatu imetoa wito kwa serikali ya Uingereza kuweka mkakati wa kitaifa wa pamoja kupambana na kuongezeka kwa cChuki Dhidi ya Uislamu (Islamophobia), ikionya kuwa mgawanyiko unaozidi katika jamii unadhoofisha imani ya wananchi kwa taasisi za umma na kutishia mshikamano wa kitaifa.
Habari ID: 3480819   Tarehe ya kuchapishwa : 2025/06/10