iqna

IQNA

Mazungumzo
IQNA-Mkuu wa Shirika la Iran Utamaduni na Uhusiano wa Kiislamu (ICRO) na waziri wa utamaduni wa Croatia wanesisitiza umuhimu wa kuendeleza mazungumzo ya dini mbalimbali kati ya Iran na Croatia.
Habari ID: 3479712    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/06

IQNA - Iran ina washindani wawili katika mashindano ya kimataifa ya Qur'ani ya Croatia mwaka huu.
Habari ID: 3479498    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/27

Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) - Mwakilishi wa Iran katika Mashindano ya 28 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Croatia alitwaa tuzo ya juu katika kategoria ya qiraa au kisomo.
Habari ID: 3475838    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/25

TEHRAN (IQNA)- Mwakilishi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Sina Tabbakhi ameibuka mshindi katika Mashindano ya 27 ya Kimataifa ya Kuhifadhi Qur’ani Tukufu nchini Croatia.
Habari ID: 3474350    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/27

TEHRAN (IQNA)- Duru ya 27 ya Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani ya Croatia imeanza Jumatano katika mji mkuu wa nchi hiyo, Zagreb.
Habari ID: 3474330    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/23

TEHRAN (IQNA)- Qarii (msomaji wa Qur'ani) ameibuka mshindi katika Mashindano ya 25 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Croatia yaliyomalizika Jumamosi.
Habari ID: 3471697    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/09/30