IQNA

Misikiti katika vyuo vikuu vyote vya Uturuki

11:34 - November 22, 2014
Habari ID: 1475780
Serikali ya Uturuki imetangaza kuanza mpango wa ujenzi wa misikiti katika vyuo vikuu vyote vya umma nchini humo.

Mkuu wa Idara ya Masuala ya Kidini Uturuki Sheikh Mohammad Gormez amesema kuwa hivi sasa misikiti 80 inajenga katika zaidi ya vyuo vikuu 80 nchini humo.
Ameongeza kuwa ifikapo  mwaka 2015 vyuo vikuu 50 vitakuwa na misikiti iliyopkamilika kujengwa.
‘Tunalipa umuhimu mkubwa suala la misikiti katika vyuo vikuu’, amesema afisa huyo wa Uturuki na kuongeza kuwa, ujenzi wa misikiti utafufua umaanawi na ucha Mngu vyuoni na katika jamii kwa ujumla.../mh
1475648

captcha