iqna

IQNA

misikiti
Ramadhani Palestina
IQNA - Waislamu wa Palestina huko Gaza wamebakia imara katika Imani na hivyo wana azma ya kutekeleza ibada zote za Mwezi Mtukufu wa Ramadhani kwa kukusanyika katika mabaki ya misikiti iliyoharibiwa na mabomu ya utawala haramu wa Israel.
Habari ID: 3478485    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/10

Mwezi wa Ramadhani
IQNA – Misikiti nchini Misri inatayarishwa kuwakaribisha waumini katika mwezi mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3478436    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/01

Jinai za Israel
IQNA - Zaidi ya maeneo 200 ya kiakiolojia na ya kale katika Ukanda wa Gaza yameharibiwa na uvamizi wa kijeshi wa Israel tangu Oktoba 7, kulingana na mamlaka huko Gaza.
Habari ID: 3478117    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/31

Uislamu Russia
IQNA - Kumekuwa na ongezeko la rekodi la idadi ya misikiti nchini Russia (Urusi) katika miongo ya hivi karibuni, afisa mmoja alisema.
Habari ID: 3478034    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/14

Jinai za Israel
GAZA (IQNA) - Msikiti wa kihistoria wa Othman bin Qashqar, ulioko katika Jiji la Kale la Gaza ulilipuliwa kwa mabomu yaliyodondoshwa na ndege za kivita za utawala haramu Israel siku ya Alhamisi, na kusababisha Wapalestina kadhaa kuuawa shahidi na uharibifu wa nyumba zilizo karibu, shirika rasmi la habari la Palestina WAFA liliripoti.
Habari ID: 3478005    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/08

Wamisri wakaribisha mpango wa Qur'ani wa Wizara ya Wakfu
TEHRAN (IQNA) - Mpango uliozinduliwa katika misikiti ya Misri kwa ajili ya kurekebisha makosa yanayofanywa na watu wakati wa kusoma Qur'ani Tukufu umepokelewa vyema, maafisa wanasema.
Habari ID: 3477994    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/06

Jinai za Israel
AL-QUDS (IQNA) - Msikiti wa Jamia wa Omari, ambao ni moja ya misikiti mikongwe zaidi katika Jiji la Kale la Gaza, uliripotiwa kulengwa katika mashambulizi ya anga ya utawala katili wa Israel siku ya Alhamisi.
Habari ID: 3477910    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/11/18

Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA)- Takriban watu 50 wameuawa na makumi ya wengine kujeruhiwa wakati ndege za kivita za utawala wa Israel zilipodondosha mabomu katika msikiti mmoja katika mtaa wa Sabra katikati mwa Ukanda wa Gaza huku utawala huo ukiendeleza mauaji ya halaiki dhidi ya Wapalestina katika eneo hilo.
Habari ID: 3477900    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/11/16

Jinai za Israel
AL-QUDS (IQNA) – Utawala wa Kizayuni wa Israel hadi sasa umeshambulia na kuharibu kabisa kwa mabomu misikiti 56 tokea unazish vita vya maangamizi ya umati dhidi ya Ukanda wa Gaza. Aidha misikiti mingine zaidi ya 192 imepata hasara kwa kuharibiwa katika mashambulizi hayo ya kinyama.
Habari ID: 3477855    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/11/07

Jinai za Israel
AL-QUDS (IQNA) - Idadi ya misikiti iliyoharibiwa kabisa katika mashambulizi yanayoendelea ya utawala haramu wa Israel kwenye Ukanda wa Gaza imefikia 52.
Habari ID: 3477827    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/11/02

Shirika la Kitaifa la Kudhibiti Nishati nchini Tunisia lilitangaza kutekelezwa kwa mpango wa kupunguza matumizi ya nishati katika misikiti nchini humu.
Habari ID: 3477105    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/06/05

Waislamu Ethiopia
TEHRAN (IQNA)- Mvutano unaendelea nchini Ethiopia kuhusu mpango tata wa kubomoa misikiti nchini humo, huku watu watatu wakiuawa katika mapigano ya hivi punde siku ya Ijumaa.
Habari ID: 3477088    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/06/03

Waislamu Marekani
TEHRAN (IQNA) – Jiji la Minneapolis limekuwa jiji la kwanza kubwa la Marekani kuruhusu utangazaji bila vikwazo wa wito wa Waislamu wa Sala yaani Adhana kwa sauti inayosikika nje ya msikiti mara tano kwa siku mwaka mzima.
Habari ID: 3476872    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/15

Waislamu na Siasa Kenya
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi mkuu wa upinzani nchini Kenya amemuonya mwanasiasa maarufu Muislamu nchini humo kuhusu kuutumia Msikiti kama jukwaa la kisiasa.
Habari ID: 3476376    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/08

Misaada kwa jamii
TEHRAN (IQNA) – Mkurugenzi wa Taasisi ya Zakat al-Andalus inayohusiana na Jumuiya ya Hisani ya Al-Najat amesema jumuiya hiyo ya Kuwait imejenga misikiti 30 katika nchi tofauti za Kiislamu na Kiarabu mwaka jana.
Habari ID: 3476355    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/04

TEHRAN (IQNA) – Maafisa wa uhamiaji wa Uingereza wameongeza upekuzi katika vituo vya kidini, hasa misikiti ni, katika jitihada za kukabiliana na uhamiaji haramu.
Habari ID: 3476045    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/06

Ustawi wa Uislamu
TEHRAN (IQNA) – Waziri wa masuala ya Kiislamu wa Morocco alisema nchi hiyo inahitaji kujenga misikiti 200 kila mwaka.
Habari ID: 3475961    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/21

Chuki dhidi ya Uislamu Ufaransa
TEHRAN (IQNA) - Serikali ya Ufaransa imefunga makumi ya misikiti katika kipindi cha miaka miwili hivi kwa kisingizio cha sheria yenye utata na iliyokosolewa sana.
Habari ID: 3475877    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/04

Waislamu Marekani
TEHRAN (IQNA) –Baraza la Mahusiano ya Kiislamu ya Marekani (CAIR) linawataka polisi nchini humo kuimarisha doria zaidi baada ya shambulio dhidi ya msikiti.
Habari ID: 3475756    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/09

Maambukizi ya Covid-19
TEHRAN (IQNA) - Uvaaji wa barakoa ndani ya misikiti itakuwa ya lazima nchini Qatar kuanzia Alhamisi.
Habari ID: 3475470    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/07