Kwa mujibu wa mwandishi wa IQNA, bunge la Austria limemuondolea kinga ya kisheria mbunge huyo mbayo alimvunjia heshima Mtume wa Uislamu.
Susan Winter wa chama cha mrengo wa kulia chenye misimamo mikali cha Austrian Freedom Party (FPÖ) anatazamiwa kufunguliwa mashataka katika siku zijazo.
Jumuiya ya Ulaya ya Kupinga Ubaguzi (ENAR) imelaani matamshi yaliyotolewa na Winter na kutoa wito kwa wanasiasa wote Ulaya kujizuia kutoa matamshi yanayochochea hisia za kidini . 333569