Hayo yamesemwa na Gavana Mansur Haqiqatpur ambaye ameongeza kuwa uchunguzi wa suala hilo umefanyika kufuatia udharura wa kuanzishwa safari mpya za ndege katika uwanja wa ndege wa Ardebil.
Gavana huyo ametangaza mipango ya kuanzisha safari hizo za ndege katika mazungumzo yake na Mkurugenzi Mwandamizi wa Shirika la Ndege la Mahan la nchini Iran. Gavana huyo amesema kuwa safari nyingine zitakazoanzishwa kutika uwanaj huo wa ndege ni zile zitakazoelekea katika miji ya Dubai na Kish. 392275