Hatua hiyo imechukuliwqa kufuatia juhudi za Jumuiya ya Kiislamu ya Madaktari wa Ufilipini. Kwa mujibu wa uamuzi huo ambao umepasishwa na Kamisheni ya Maaskofu wa Ufilipino, wanawake wa Kiislamu wanaofanya kazi katika hospitali sasa wanawesza kuhudumu wakiwa na vazi la hijabu hata katika hospitali za Kikristo.
Mkurugenzi Mtendaji wa Kamisheni ya ya Dini za Ufilipino amepongeza hatua hiyo na kusema kuwa watu wote wana haki ya kutende kazi na shughuli zao kwa mujibu wa itikadi na imani zao za kidini. 429655