IQNA

Kikao cha Mazungumzo ya Uislamu na Uyahudi kufanyika Paris

16:14 - February 27, 2011
Habari ID: 2087373
Kikao cha Mazungumzo kati ya Uislamu na Uyahudi kinafanyika leo mjini Paris.
Dakta Nadia Achehboun, mtaalmu wa elimu jamii, mwanahistoria Kamel Meziti na Martine Cohen ambaye ni mtaalamu wa elimu jamii ni miongoni mwa wasomi watakaohutubia mkutano huo.
Mkutano huo unasimamiwa na Jumuiya ya Urafiki wa Uislamu na Uyahudi ya Ufaransa (AJMF). 754560
captcha