IQNA

Semina ya 'Sauti ya Mapinduzi' kufanyika London

11:46 - April 09, 2011
Habari ID: 2102521
Semina ya 'Sauti ya Mapinduzi' imepangwa kufanyika mjini London hapo kesho Jumapili kwa mnasaba wa kuzaliwa Bibi Zeinab (as) katika Msikiti wa Imam Hussein (as).
Semina hiyo imeandaliwa na Jumuiya ya Ahlul Beit ya Mjini London pamoja na jumuiya ya Walebanoni wanaoishi katika mji huo. Sayyid Muhammad Said Bahman Pur Mkuu wa Chuo cha Kiislamu cha London atazungumza katika semina hiyo itakayoanza saa 10.30 kwa wakati wa London kuhusiana na mawalii wa Mwenyezi Mungu. Hakika na subira na hatima ya madhalimu ni maudhui nyingine zitakazozungumziwa na wanazuoni wa Kiislamu watakaoshiriki katika kikao hicho. 770108
captcha