Siku ya kwanza ya kikao hicho washiriki watajadili 'haki za wanawake na majukumu yao'. Siku ya pili maulamaa mashuhuri wa India kama vile Sheikh Mohammad Mukkharam Ahmad, Imamu wa Msikiti wa Jamia wa Fatahpuri watahutubu.
Wanaharakati wanawake Waislamu nchini India pia wanatazamiwa kuhutubu katika kikao hicho.
Idadi ya Waislamu nchini India inakadiriwa kuwa milioni 150 kati ya watu bilioni 1.2.
771469