Meli hiyo ilipangwa kuelekea Gaza mwanzoni mwa mwezi huu wa Mei lakini safari hiyo imecheleweshwa kutokana na matatizo ya kisiasa.
Meli hiyo itakuwa na makumi ya wanachama wa jumuiya za kiraia, waandishi habari na shakhsia mbalimbali wa Kifaransa. Meli nyingine kama hiyo zenye misaada ya kibindanu kutoka Uturuki na Ugiriki zinajiunga na meli hiyo ya Ufaransa kuelekea Gaza kwa ajili ya kuvunja mzingiro wa wazayuni dhidi ya raia milioni moja na nusu wanaosumbuliwa na uhaba mkubwa wa bidhaa muhimu kama chakula, maji na dawa. 805241