Masomo ya kiraa sahihi ya Qur'ani Tukufu, mbinu za kuhifadhi Qur'ani, kuelewa maana na tafsiri ya Qur'ani Tukufu yatatolewa kwa washiriki katika masomo hayo.
Vikao hivyo vitakuwa vikifanyika katika siku za Jumatano na Alkhamisi ya kila wiki.
Jumuiya ya Kiislamu ya Manchester Jumamosi tarehe 26 Novemba pia ilikuwa na warsha iliyopewa jina la "Qur'ani: Ujumbe Usiokuwa na Zama Makhsusi", kwa shabaha ya kuchunguza ujumbe wa Mwenyezi Mungu Muumba. 906841