Mafunzo ya lugha ya Kiarabu, sheria za fiqhi, maadili ya Kiislamu na kiraa ya Qur'ani Tukufu yanatolewa kwa wanawake na wanaume siku za Jumamosi katika masomo hayo ya muda.
Masomo ya kiraa ya Qur'ani Tukufu yatatolewa katika ngazi tatu za msingi, masomo ya kati na elimu ya juu.
Mafunzo hayo yanasimamiwa na kitengo cha lugha ya Kiingereza cha Kituo cha Kiislamu cha Uingereza kuanzia leo tarehe 10 Disemba na yataendelea hadi tarehe 26 Machi mwakani. 912804