Mashindano hayo yanasimamiwa na Jumuiya ya Wakfu ya Punjab na yatafanyika katika sehemu mbili za hifdhi na kiraa ya Qur'ani.
Washiriki katika kitengo cha hifdhi watachuana katika kuhifadhi juzuu 30, 20, 10 na 5 za Qur'ani Tukufu.
Kitengo cha kiraa ambacho kitawashirikisha wanawake na wanaume, kitakuwa na sehemu mbili za watu wenye umri wa juu ya miaka 16 na chini ya umri huo. 917132