Kwa mujibu wa tovuti ya arabic1.peoplel.com, makari 60 kutoka mikoa 23 na maeneo ya utawala wa ndani walishiriki katika mashindano hayo ya kitaifa yaliyofanyika katika Kituo cha Utafiti wa Kiislamu cha China.
Washiriki wa mashindano hayo walitoka makabila, jamii na kaumu tofauti za China, ambapo mshindi wa kwanza wa Mashindano hayo alikuwa ni Wali Mahsuti kutoka katika mji wa Shengyan katika mkoa wa Henan.925497