Gazeti la al Sharq la Qatar limeripoti kuwa, mashindano hayo yalisimamiwa na taasisi ya Qur'ani ya Tajul Wiqar ya Wizara ya Masuala ya Kheri ya Qatar kwa ajili ya watoto wadogo.
Taasisi ya hifdhi ya Qurani ya Tajul Wiqar ilitayarisha mashindano hayo kwa ajili ya watoto wadogo wenye umri wa kati ya miaka 8 hadi 12 na sherehe za kuwaenzi zimefanyika leo. 928887