IQNA

Sherehe za kufunga Mashindano ya 38 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Iran

Sherehe za kufunga Mashindano ya 38 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Iran zimefanyika Jumamosi mjini Tehran ambapo walioshinda wametunukiwa zawadi