IQNA – Iran imetangaza majina ya wawakilishi wake katika mashindano ya kimataifa ya Qur’ani yatakayoandaliwa nchini Saudi Arabia.
Habari ID: 3480890 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/03
IQNA – Wahifadhi Qur’ani kutoka nchi 85 wamesajili majina yao ili kushiriki katika toleo la 28 la Tuzo la Kimataifa la Qur’ani Tukufu la Dubai.
Habari ID: 3480858 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/06/25
IQNA – Hamada Muhammad al-Sayyid, hafidh wa Qur'ani kutoka Misri, ameshinda nafasi ya kwanza katika mashindano ya kwanza ya kuhifadhi Qur'ani kwa Mahujaji, yaliyofanyika katika Msikiti Mkuu wa Makka
Habari ID: 3480817 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/06/10
IQNA – Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani kwa Wanafunzi Waislamu ni fursa muhimu ya kuleta unyenyekevu na uhai wa kiroho katika mazingira ya vyuo vikuu kupitia usomaji wa Qur'ani Tukufu, amesema afisa mmoja wa elimu.
Habari ID: 3480788 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/06/04
IQNA – Lengo kuu la Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu kwa Wanafunzi Waislamu ni kuimarisha umoja miongoni mwa wanafunzi, wasomi, na wahadhiri kutoka ulimwengu wa Kiislamu, afisa mmoja amesema.
Habari ID: 3480782 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/06/03
IQNA – Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani kwa Wanafunzi Waislamu wa Vyuo Vikuu si tu jukwaa la mashindano kuhusu maarifa ya Qur’ani, bali pia ni fursa adhimu ya kukuza na kuimarisha maisha ya kiroho katika mazingira ya kielimu, afisa mmoja amesema.
Habari ID: 3480776 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/06/02
IQNA – Raundi ya mwisho ya mashindano ya Qur’an kwa wanafunzi wa vyuo vikuu nchini Iran, toleo la 39, imeanza rasmi Jumamosi kwa hafla maalum ya uzinduzi.
Habari ID: 3480737 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/25
IQNA – Mashindano yajayo ya Qur’ani ya Tuzo ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu ya Dubai yatafanyika katika sehemu tatu kuu, na kwa mara ya kwanza yatafungua milango kwa washiriki wa kike.
Habari ID: 3480726 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/23
IQNA – Toleo la tatu la Mashindano ya Kimataifa ya Ulaya ya Kuhifadhi Qur’ani kwa washiriki wa umri mkubwa limehitimishwa mjini Rijeka, Croatia, ambapo Muhammad Abdi kutoka Sweden (Uswidi) alitwaa nafasi ya kwanza.
Habari ID: 3480717 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/21
IQNA – Mashindano ya kuhifadhi Qur’ani yalifanyika mjini Damaturu, mji mkuu wa jimbo la Yobe nchini Nigeria, siku ya Jumamosi.
Habari ID: 3480701 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/18
IQNA – Washiriki wa baraza la utungaji sera kwa ajili ya Mashindano ya 7 ya Kimataifa ya Qur'ani kwa Wanafunzi Waislamu wametangazwa.
Habari ID: 3480678 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/13
IQNA – Mkutano umefanyika Tehran Jumatatu ili kujadili mikakati ya kuendeleza vipengele vya kimataifa vya Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
Habari ID: 3480648 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/06
IQNA – Nigeria inapanga kuandaa mashindano ya kimataifa ya Qur’ani Tukufu na kushirikisha maqari wa Qur’ani kutoka nchi 20.
Habari ID: 3480632 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/03
IQNA – Wanaharakati wa Qur'ani kutoka nchi 50 hadi sasa wamejisajili kushiriki katika toleo la nne la shindano la kimataifa la Qur'ani huko Karbala, Iraq.
Habari ID: 3480616 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/30
IQNA-Wawakilishi wawili wa Iran katika mashindano ya 13 ya kimataifa ya Qur’an yaliyoendeshwa Libya walishiriki vikao vya mzunguko wa awali kupitia mtandao.
Habari ID: 3480595 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/26
IQNA – Washindi wa mashindano ya tuzo za Qur’ani nchini Kuwait walitunukiwa zawadi katika sherehe iliyofanyika katika mji mkuu wa nchi hiyo siku ya Jumanne.
Habari ID: 3480585 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/23
IQNA – Kamati ya maandalizi ya Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani ya Lebanon yanayojulikana kama "Dhikr lil-Alamin" imetangaza washindi wa kitengo cha qiraa.
Habari ID: 3480573 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/21
IQNA – Mchujo wa awali wa mashindano makubwa zaidi ya kimataifa ya kuhifadhi Qur'ani Tukufu katika ukanda wa Balkan umekamilika huko Bosnia na Herzegovina.
Habari ID: 3480569 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/20
IQNA – Kadri maandalizi ya Mashindano ya 7 ya Kimataifa ya Qur'ani kwa Wanafunzi Waislamu yanavyoendelea, tarehe ya mwisho kwa washiriki wa sehemu ya Teknolojia na Ubunifu Kuhusu Qur’ani inakaribia.
Habari ID: 3480534 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/13
IQNA – Toleo la pili la Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani ya "Wa Rattil," yaliyoandaliwa na Thaqalayn TV, limehitimishwa mwishoni mwa mwezi mtukufu wa Ramadhani, likiwashirikisha washiriki kutoka mataifa mbalimbali wakiwania nafasi za juu.
Habari ID: 3480485 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/02