iqna

IQNA

IQNA – Qari maarufu wa Iraq na mtangazaji wa televisheni Sayyid Hassanayn al-Hulw ameisifu mashindano mapya ya Qur’an ya Iran yaliyopewa jina la “Zayin al-Aswat”, akiyataja kuwa jukwaa la mabadiliko linalofichua vipaji vya kipekee vya vijana na kuimarisha misingi ya elimu ya Qur’an.
Habari ID: 3481340    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/10/08

IQNA – Mashindano ya Qur'an kama ‘Zayin al-Aswat’ huwapa vijana msukumo wa kiroho na hutoa kipimo sahihi cha maendeleo yao katika usomaji wa Qur'an, amesema Qari maarufu kutoka Iran, Ahmad Abolqassemi.
Habari ID: 3481337    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/10/07

IQNA – Profesa Abdul Karim Saleh, Mkuu wa Kamati ya Mapitio ya Qur’ani ya Al-Azhar, ametangazwa na kupewa heshima kama “Mtu wa Mwaka wa Qur’ani” katika Tuzo ya 13 ya Kimataifa ya Qur’ani ya Libya.
Habari ID: 3481331    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/10/05

IQNA – Qari kijana kutoka Iran aliyeshiriki katika toleo la kwanza la mashindano ya Qur’ani ya ‘Zayin al-Aswat’(mapambo ya sauti) amesifu ubora wa mashindano hayo na kuyataja kuwa fursa muhimu ya kutambulisha wasomaji wa Qur’ani wasiojulikana sana nchini.
Habari ID: 3481323    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/10/03

IQNA – Hafla ya kufunga mashindano ya kwanza ya kitaifa ya Qur’ani yenye jina “Zayen al-Aswat” (mapambo ya sauti) ilifanyika siku ya Alhamisi mjini Qom, ambapo washiriki bora walienziwa na kutunukiwa zawadi.
Habari ID: 3481322    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/10/03

IQNA – Mkurugenzi mtendaji wa toleo la kwanza la mashindano ya Qur'ani ya kitaifa ya ‘Zayin al-Aswat’ (mapambo ya sauti) amesema kuwa katika mashindano mengi ya Qur'an, kila kitu huisha kwa sherehe ya kufunga na kuwatuza washindi na sasa sekretarieti ya tukio hili la Qur'an inalenga kuandamana na washiriki kupitia mawasiliano endelevu na yenye tija ili kuwafikisha katika viwango vya kitaalamu na vya kimataifa.
Habari ID: 3481314    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/10/01

IQNA – Ahmad Abolqassemi, Qari mashuhuri kutoka Iran, amesisitiza uwezo wa kipekee wa nchi hiyo katika uwanja wa usomaji wa Qur’ani Tukufu, akipendekeza kuandaliwa mashindano mapya ya kipekee ya “fainali ya mabingwa” kwa washindi wa mashindano ya kimataifa ya Qur’ani, yatakayofanyika nchini Iran.
Habari ID: 3481300    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/29

IQNA – Libya imetangaza washindi wa Tuzo ya 13 ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu, iliyofikia tamati mjini Benghazi kwa ushiriki wa zaidi ya mataifa 70.
Habari ID: 3481299    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/29

IQNA – Toleo la kwanza la mashindano ya kitaifa ya Qur’ani ya Iran ya “Zayin al-Aswat” (mapambo ya sauti) linatarajiwa kufanyika katika mji mtakatifu wa Qom, likijumuisha makundi matatu kuu, waandaaji walitangaza.
Habari ID: 3481298    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/28

IQNA-Mashindano ya sita ya kuhifadhi, kusoma, na Tajwidi ya Qur’ani Tukufu nchini Morocco yameingia katika hatua ya mwisho, yakifanyika kuanzia Ijumaa katika mji wa Fez.
Habari ID: 3481290    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/27

IQNA – Majina ya wale wanaostahiki kushiriki katika hatua ya fainali ya Mashindano ya 48 ya Kitaifa ya Qur’ani Tukufu nchini Iran yametangazwa.
Habari ID: 3481277    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/24

IQNA – Hatua ya mwisho ya Mashindano ya Mfalme Salman bin Abdulaziz ya Kuhifadhi Qur’ani Tukufu na Sunnah ya Mtume (SAW) barani Afrika imehitimishwa kwa hafla rasmi iliyofanyika mjini Johannesburg, Afrika Kusini.
Habari ID: 3481271    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/23

IQNA – Hatua ya mwisho ya Mashindano ya 39 ya Kitaifa ya Qur’ani na Etrat kwa Wanafunzi wa Vyuo Vikuu nchini Iran imepangwa kufanyika katika mji wa kati wa Isfahan.
Habari ID: 3481268    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/22

IQNA – Mji wa Benghazi ulioko kaskazini mashariki mwa Libya ni mwenyeji wa toleo la 13 la mashindano ya kimataifa ya Qur’ani ya nchi hiyo.
Habari ID: 3481261    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/21

IQNA – Taasisi ya Mohammed VI ya Maulamaa wa Afrika inatarajiwa kuandaa fainali za mashindano yake ya sita ya kuhifadhi, kusoma, na tajwidi ya Qur’ani Tukufu kuanzia tarehe 26 hadi 28 Septemba.
Habari ID: 3481260    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/21

IQNA – Hatua ya mwisho ya mashindano ya kimataifa ya kuhifadhi Qur’ani Tukufu imeanza Alhamisi katika mji mkuu wa Afrika Kusini, ikiwakutanisha washiriki kutoka nchi 29.
Habari ID: 3481250    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/19

IQNA – Sheikh Abdel Fattah Taruti, qari mashuhuri wa Misri na mjumbe wa majopo ya majaji wa mashindano ya Qur’ani ya “Dawlat al-Tilawa”, amesema kwamba kila mshiriki katika mashindano hayo ni mshindi, hata ikiwa hatofika katika hatua ya mwisho.
Habari ID: 3481241    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/16

IQNA – Mashindano ya Qur’ani yalifanyika kwa ajili ya wanafunzi mahiri waliokuwa wakihudhuria kozi za Qur’ani za majira ya kiangazi zilizoandaliwa na Jumuiya ya Kisayansi ya Qur’ani Tukufu chini ya usimamizi wa Mfawidhi wa Haram Tukufu ya Abul-Fadhlil Abbas (AS).
Habari ID: 3481166    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/01

QNA – Toleo la 19 la Tuzo ya Kimataifa ya Mohammed VI ya Kuhifadhi, Kusoma, Tajweed, na Tafsiri ya Qur'ani lilifunguliwa Jumanne, Agosti 26, mjini Rabat, Morocco.
Habari ID: 3481150    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/28

IQNA – Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani kwa Wanafunzi Waislamu yanajitahidi kuimarisha uhusiano kati ya washiriki duniani kote badala ya kuwa mashindano ya muda mfupi pekee, amebaini mtaalamu.
Habari ID: 3481148    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/28