IQNA – Mitihani ya awali imeanza rasmi kwa washiriki wa kimataifa wanaojiandaa kushiriki katika Mashindano ya 32 ya Kimataifa ya Qur’ani, yanayoandaliwa na Wizara ya Awqaf ya Misri, yaliyopangwa kufanyika mwezi Disemba 2025.
                Habari ID: 3481449               Tarehe ya kuchapishwa            : 2025/11/02
            
                        
        
        IQNA – Mashindano makubwa ya Qurani yatakayoshirikisha washiriki kutoka ndani na nje ya nchi huko Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) yataanza rasmi tarehe 1 Novemba.
                Habari ID: 3481437               Tarehe ya kuchapishwa            : 2025/10/29
            
                        
        
        IQNA – Kamati ya maandalizi ya Mashindano ya 48 ya Kitaifa ya Qur’ani Tukufu nchini Iran imetangaza rasmi majina ya washindi wa tukio hilo mashuhuri la Kiqur’ani.
                Habari ID: 3481429               Tarehe ya kuchapishwa            : 2025/10/28
            
                        
        
        IQNA – Kwa wastani, zaidi ya watu 5,000 kutoka mkoa wa Kordestan nchini Iran huhudhuria mashindano ya kitaifa ya Qur'an kila siku, kwa mujibu wa afisa mmoja.
                Habari ID: 3481425               Tarehe ya kuchapishwa            : 2025/10/27
            
                        
        
        IQNA – Hafla ya kukabidhi zawadi kwa washindi wa toleo la 12 la mashindano ya kitaifa ya kuhifadhi na kusoma Qur'ani Tukufu nchini Mauritania imefanyika katika mji mkuu wa taifa hilo.
                Habari ID: 3481423               Tarehe ya kuchapishwa            : 2025/10/27
            
                        
        
        IQNA – Kamati Kuu ya Maandalizi ya Mashindano ya Kimataifa ya Qur'an ya Port Said nchini Misri imetangaza kufunguliwa kwa usajili wa washiriki wa kimataifa kwa ajili ya toleo la tisa la mashindano hayo, litakalofanyika kwa heshima ya Qari maarufu Sheikh Mahmoud Ali Al-Banna.
                Habari ID: 3481421               Tarehe ya kuchapishwa            : 2025/10/26
            
                        
        
        IQNA – Hafla ya kufunga awamu ya mwisho ya Mashindano ya 48 ya Kitaifa ya Qur'an ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inatarajiwa kufanyika, Oktoba 27, katika mji wa Sanandaj, mkoa wa Kordestan.
                Habari ID: 3481420               Tarehe ya kuchapishwa            : 2025/10/26
            
                        
        
        IQNA – Washiriki wa kitengo cha wanawake katika Mashindano ya 48 ya Kitaifa ya Qur’ani Tukufu nchini Iran waliendelea kuonesha umahiri wao siku ya tatu ya mashindano hayo, wakishindania nafasi za juu.
                Habari ID: 3481412               Tarehe ya kuchapishwa            : 2025/10/25
            
                        
        
        IQNA – Waziri wa Mambo ya Waqf wa Misri ametoa pongezi zake kwa kuenziwa hivi karibuni kwa Qari maarufu Sheikh Abdul Fattah Taruti wakati wa mashindano ya kimataifa ya Qur’ani yaliyofanyika mjini Moscow, Russia
                Habari ID: 3481409               Tarehe ya kuchapishwa            : 2025/10/24
            
                        
        
        IQNA-Sheikh Mamosta Fayeq Rostami, msomi maarufu wa Ahul Sunna na mwakilishi wa watu wa Kurdistan katika Baraza la wanazuoni Wataalamu wanaomchagua Kiongozi Muadhamu wa Iran amesisitiza kuwa Qurani Tukufu si tu kitabu cha ibada, bali ni waraka kamili unaoelekeza maisha ya binadamu katika nyanja za uchumi, utamaduni na siasa
                Habari ID: 3481387               Tarehe ya kuchapishwa            : 2025/10/20
            
                        
        
        IQNA-Awamu ya mwisho ya Mashindano ya Kitaifa ya Qur’ani Tukufu ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ya 48 imezinduliwa rasmi katika hafla iliyofanyika asubuhi ya Jumamosi katika mji wa Sanandaj, mkoa wa Kurdistan.
                Habari ID: 3481386               Tarehe ya kuchapishwa            : 2025/10/19
            
                        
        
        IQNA-Hafla ya kuvienzi vyuo vikuu vilivyofanya vyema pamoja na kamati ya majaji walioshiriki katika Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani ya vyuo vikuu, yaliyopewa jina la "Al-Nur", imefanyika katika Chuo Kikuu cha Al-Ameed nchini Iraq.
                Habari ID: 3481380               Tarehe ya kuchapishwa            : 2025/10/18
            
                        
        
        IQNA – Toleo la pili la Mashindano ya Kimataifa ya Usomaji na Kuhifadhi Qur’ani Tukufu nchini Kazakhstan limehitimishwa kwa hafla rasmi iliyofanyika mjini Astana.
                Habari ID: 3481378               Tarehe ya kuchapishwa            : 2025/10/18
            
                        
        
        IQNA – Chuo Kikuu cha Al-Ameed kimeandaa Mashindano ya Kimataifa ya Qur'an yanayojulikana kama “Qur'an Al-Nur”, yakihusisha wanafunzi kutoka zaidi ya vyuo vikuu 60 vya ndani na nje ya Iraq.
                Habari ID: 3481375               Tarehe ya kuchapishwa            : 2025/10/17
            
                        
        
        IQNA – Hatua ya mwisho ya Mashindano ya 26 ya Qur'ani Tukufu ya Sheikha Hind bint Maktoum imeanza rasmi Dubai, ikiwakutanisha wanaume na wanawake wanaohifadhi Qur’ani kutoka kote katika Muungano wa Falme za Kiarabu.
                Habari ID: 3481372               Tarehe ya kuchapishwa            : 2025/10/15
            
                        
        
        IQNA-Idara Kuu ya Mambo ya Kiislamu, Awqaf na Zakat ya Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) imetangaza kuanza kwa usajili wa toleo la pili la Emirates International Quran Award.
                Habari ID: 3481367               Tarehe ya kuchapishwa            : 2025/10/14
            
                        
        
        IQNA – Mashindano ya kuhifadhi Qur'ani Tukufu yatafanyika wakati wa toleo la pili la Maonyesho ya Kimataifa ya Vitabu ya Ofisi ya Mwendesha Mashtaka Mkuu wa Libya, yatakayofanyika mjini Tripoli mwishoni mwa mwezi huu.
                Habari ID: 3481363               Tarehe ya kuchapishwa            : 2025/10/13
            
                        
        
        IQNA – Mashindano ya 48 ya Kitaifa ya Qur'ani Tukufu ya Iran, yakihusisha washiriki 330 kutoka maeneo mbalimbali ya nchi, yatafanyika mwaka huu katika mji wa Sanandaj ulioko magharibi mwa Iran, chini ya kauli mbiu: “Qur'ani, Kitabu cha Umoja.”
                Habari ID: 3481362               Tarehe ya kuchapishwa            : 2025/10/13
            
                        
        
        IQNA – Mtaalamu mkongwe wa Qur'an, Abbas Salimi, amesema kuwa mashindano ya Qur'an yana mchango mkubwa katika kuimarisha jamii na kuzuia Qur'an Tukufu kusahaulika au kuwekwa pembeni.
                Habari ID: 3481352               Tarehe ya kuchapishwa            : 2025/10/11
            
                        
        
        IQNA – Qari maarufu wa Iraq na mtangazaji wa televisheni Sayyid Hassanayn al-Hulw ameisifu mashindano mapya ya Qur’an ya Iran yaliyopewa jina la “Zayin al-Aswat”, akiyataja kuwa jukwaa la mabadiliko linalofichua vipaji vya kipekee vya vijana na kuimarisha misingi ya elimu ya Qur’an.
                Habari ID: 3481340               Tarehe ya kuchapishwa            : 2025/10/08