Nisf Sha'ban , au siku ya 15 ya mwezi wa Hijria Qamari wa Sha’aban, ni siku ya kuzaliwa Imam Mahdi, ambaye ni Imamu wa kumi na mbili wa Waislamu wa madhehebu ya Shia ambaye pia anajulikana kama Imam Zaman (Mwenyezi Mungu aharakishe kudhihiri kwake).
Kila mwaka katika hafla hii adhimu, Msikiti wa Jamkaran hutembelewa na mamia ya maelfu ya waumini.
Siku ya 15 ya Sha’aban inasadifiana na Jumatano, Machi 8, mwaka huu.
.