QOM (IQNA) –Msikiti wa Jamkaran ulio katika mji wa Qom nchini Iran umesafishwa ili kuutayarisha kwa ajili ya sherehe za siku ya katikati ya Sha’aban ambayo pia ni maarufu kama Nisf Sha'ban
Habari ID: 3476636 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/27
TEHRAN (IQNA)- Katika mkesha wa kuanza mwezi wa Muharram, bendera ya Msikiti wa Jamkaran karibu na mji wa Qum nchini Iran imebadilishwa ambapo ile ya kijani kibichi imeshushwa na nyeusi ikapandishwa.
Habari ID: 3474173 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/09
TEHRAN (IQNA)- Bendera ya Msikiti wa Jamkaran karibu na Mji Mtakatifu wa Qum, nchini Iran imebadilishwa na mpya kupandishwa katika sherehe iliyofanyika Alhamisi.
Habari ID: 3473867 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/01