Juzuu ya 3 - Qiraa ya Kila Siku ya Qur’ani
IQNA – Tumekuandalia qiraa ya Tarteel ya Juzuu ya 3 ya Qur’ani Tukufu, ambayo inasomwa na maqarii wanne maarufu wa Iran ambao ni Habib Sedaqat, Masoud Nouri, Hossein Fardi, and Saeed Parvizi. Jiunge na IQNA kila siku katika mwezi mtukufu wa Ramadhani kwa safari ya kiroho kupitia Qur’ani Tukufu ili tuweze kuhitimisha pamoja mwishoni mwa mwezi huu mtukufu.