IQNA

Kisomo cha Mbinguni: Msikilize Sheikh Abdulaziz Ali Faraj akisoma aya ya Surah Maryam Surah

IQNA- Ifuatayo ni qiraa (kisomo) ya aya 12 ya Surah Maryam ikisomwa na qarii wa Misri Sheikh Abdulaziz Ali Faraj.

Ewe Yahya! Kishike Kitabu kwa nguvu! Nasi tulimpa hikima angali mtoto.

Kishikizo: Abdulaziz Ali Faraj ، qarii ، misri