Sheikh Musallam ni Qarii maarufu wa Qur'ani wa Misri aliyezaliwa mwaka 1936 mjini Qotour katika Jimbo la Gharbia nchini humo. Alihifadhi Qur'ani akiwa na umri wa miaka 8 na aliaga dunia Septemba 2, 2002.
4061451
Zenye maoni mengi zaidi