IQNA

Tofauti kati ya Maafisa wa Iran na wa Marekani

18:15 - March 25, 2026
Habari ID: 3482087
IQNA – Iran ni nchi ambayo viongozi, maafisa wa serikali na makamanda wa kijeshi hawasimami kutoa heshima kwa majeneza ya wanajeshi wao; badala yake mara nyingi wao hutangulia kuuawa shahidi, kisha wananchi wa nchi yao ndio huwapa mazishi na kuwaaga kwa heshima.

Kishikizo: imam khamenei shahidi
captcha