iqna

IQNA

IQNA – Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amemsifu Shahidi Rais Ebrahim Raisi kama mtumishi wa umma aliyejitolea, ambaye unyenyekevu wake na kujituma bila kuchoka kwa ajili ya watu vilimtofautisha na wengine.  
Habari ID: 3480714    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/20

IQNA – Harakati ya Mapambano ya Kiislamu (Muqawama) ya Palestina Hamas ililaani mauaji ya Salah al-Badrawil yaliyofanywa na utawala katili wa Israel, ikisisitiza kuwa kwa kila shahidi , mwenge wa Muqawama unazidi kuwa mkali.
Habari ID: 3480421    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/23

IQNA – Mazishi ya Shahidi Sayed Hassan Nasrallah si tukio la kupita tu, bali ni u shahidi kwamba mashujaa hawafi bali wanakuwa wahusika wa kudumu na kuishi katika kumbukumbu za watu.
Habari ID: 3480257    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/02/23

Muqawama
IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ametuma salamu na ujumbe maalumu kwa mnasaba wa kufanyika mazishi na maziko ya Mwanajihadi mkubwa Shahidi Sayyid Hassan Nasrullah na Shahidi Sayyid Hashem Safiyyuddin na kusisitiza kuwa: "adui ajue kwamba, Muqawama wa kukabiliana na ughasibu, dhulma na uistikbari si wa kumalizika; na kwa idhini ya Allah utaendelea hadi ufikie lengo ulilokusudia".
Habari ID: 3480256    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/02/23

IQNA – Wageni rasmi na wasio rasmi kutoka nchi mbalimbali wamewasili katika mji mkuu wa Lebanon, Beirut, kuhudhuria mazishi ya aliyekuwa katibu mkuu wa Hizbullah, Sayed Hassan Nasrallah.
Habari ID: 3480255    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/02/22

Khatibu wa Sala ya Ijumaa Tehran
IQNA-Khatibu wa Sala ya Ijumaa mjini Tehran amezungumzia mazishi yajayo ya shahidi Sayyid Hassan Nasrallah na kusema: alikuwa mtu mwenye heshima na aliuletea umma wa Kiislamu heshima. Alikuwa shakhsia mashuhuri ambaye alikuwa nafasi muhimu katika kuondoa migogoro na kuimarisha mshikamano katika umma wa Kiislamu
Habari ID: 3480250    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/02/21

 IQNA – Hizbullah imepanga kufanya mazishi ya Katibu Mkuu wake ,  Hizbullah Sayed Hassan Nasrullah, pamoja na Mkuu wa Baraza lake la Utendaji,  Shahidi Hashem Safiyyuddin,  Februari 23, 2025.
Habari ID: 3480151    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/02/03

Muqawama
IQNA-Rais Massoud Pezeshkian amesema kwamba Jamhuri ya Kiislamu itaendelea na njia iliyoanzishwa na kamanda shujaa wa kupambana na ugaidi, Shahidi Luteni Jenerali Qassem Soleimani, kwa nguvu zake zote huku akisema Shahidi Soleimani hakujali mchana wala usiku popote alipohitajika kuwatetea wanyonge/
Habari ID: 3479995    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/01/03

Muqawama
IQNA - Tarehe itatangazwa hivi karibuni kwa ajili ya mazishi ya marehemu kiongozi wa Hizbullah Shahidi Sayed Hassan Nasrallah, mbunge wa Lebanon alisema.
Habari ID: 3479816    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/27

Kufa Shahidi Katika Qur'ani / 4
IQNA – Kwa mujibu wa Hadithi za Mtukufu Mtume Muhammad (SAW), iwapo mtu atauawa au kufa katika njia ya kutekeleza majukumu aliyopewa na Mwenyezi Mungu, anahesabiwa kuwa ni shahidi .
Habari ID: 3479808    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/25

Kufa Shahidi Katika Qur'ani/3
IQNA – Kwa mujibu wa Qur'ani Tukufu, kufa ki shahidi ni muamala wa kibiasharakati ya mtu na Mwenyezi Mungu.
Habari ID: 3479797    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/23

Kufa Shahidi Katika Qur'ani/1
IQNA – Qur’ani Tukufu inasisitiza kwamba kifo cha ki shahidi ni hadhi iliyotukuka na inaorodhesha fadhila nyingi kwa ma shahidi .
Habari ID: 3479782    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/20

Muqawama
IQNA-Waziri wa Utamaduni na Mwongozo wa Kiislamu wa Iran, amesema kwamba Shahidi Hassan Nasrallah alikuwa shakhsia mwenye kutafakari na kuchambua mambo ipasavyo na kuongeza kuwa: Shahidi huyu wa ngazi ya juu alikuwa ni mchanganyiko adimu wa uwezo wa fikra na kutenda."
Habari ID: 3479724    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/09

Muqawam
IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Ali Khamenei ametoa pongezi kwa ma shahidi wa muqawama (mapambano ya Kiislamu) na kusema kwamba wameleta heshima katika kambi ya muqawama.
Habari ID: 3479715    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/07

Muqawama
IQNA - Mjumbe wa ofisi ya kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) amefafanua jinsi kiongozi wa harakati hiyo aliyeuawa shahidi , Yahya Sinwar, alivyowaheshimu sana wahifadhi Qur'ani.
Habari ID: 3479695    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/03

Muqawama
IQNA - Katibu Mkuu mpya wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesisitiza kuendelea kwa mapambano ya kuvuruga njama za utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya eneo zima la Asia Magharibu na kusema kuwa Mapambano ya Kiislamu (muqawama) Gaza na Lebanon ni kielelezo cha adhama ambacho kitajenga mustakbali wa eneo hilo.
Habari ID: 3479674    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/31

Muqawama
IQNA-Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon imetoa taarifa na kuthibitisha kuuawa shahidi Mkuu wake wa Baraza la Utendaji katika shambulio lililofanywa na utawala wa Kizayuni kwenye kitongoji Adh-Dhaahiyah Kusini katika mji mkuu wa nchi hiyo Beirut.
Habari ID: 3479639    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/24

Operesheni ya Ahadi ya Kweli II
IQNA-Kufuatia operesheni ya makombora ya kulipiza kisasi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran dhidi ya utawala wa Israel kwa ajili ya kujibu jinai za hivi karibuni za utawala huo wa Kizayuni, makundi ya Muqawama yameeleza rasmi uungaji mkono wake kwa Iran.
Habari ID: 3479520    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/01

Muqawama
IQNA - Vyanzo vya habari nchini Lebanon vimethibitisha kuuawa shahidi Sheikh Nabil Qaouk, mjumbe wa baraza kuu la harakati ya Hizbullah na msaidizi wa karibu wa Sayed Hassan Nasrallah, Katibu Mkuu wa harakati hiyo.
Habari ID: 3479515    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/30

Muqawama na Qur'ani
IQNA - Jumuiya ya Qur'ani ya Iran imesema subira na ustahimilivu wa watu wa Gaza dhidi ya uhasama wa Israel unatokana na mafundisho ya Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3479257    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/10