IQNA – Akikosoa kwa ukali misimamo ya qari wa Kuwait, Mishary Rashid al‑Afasi, katika kuhalalisha mashambulizi ya Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, msomaji wa Qur’ani kutoka Yemen ametoa wito wa kususiwa kwa al‑Afasi.
Habari ID: 3482173 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/04/28
IQNA- Kampeni ya kiroho ijulikanalo kama “Kuelekea Ushindi kwa Uongozi wa Mwenyezi Mungu(Wilayah)” limeandaliwa na IQNA kwa mnasaba wa kuchaguliwa kwa Kiongozi mpya wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Ayatullah Sayyid Mojtaba Khamenei, pamoja na kiapo cha utii kilichotolewa kwake.
Habari ID: 3482166 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/04/26
IQNA – Sheikh Osama Karbalayi, msomaji wa kimataifa wa Qur’ani kutoka Iraq, amesisitiza kuwa misimamo ya qari wa Kuwait, Mishary Rashid Al‑Afasi, katika kuhalalisha uchokozi wa Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, inapingana na kiini cha mafundisho ya Mwenyezi Mungu.
Habari ID: 3482164 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/04/26
IQNA-Rais wa Iran amesema kuwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inaendelea kusimama upande wa amani, utulivu na mahusiano ya kindugu katika eneo, akibainisha kwamba usalama wa eneo unapaswa kuhakikishwa na mataifa ya eneo hilo yenyewe.
Habari ID: 3482145 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/04/17
IQNA – Profesa wa chuo kikuu na mwanachuo wa chuo cha Kiislamu (Hawzah) amelaani mashambulizi ya adui wa Kizayuni na Kimarekani dhidi ya vituo vya kisayansi, kitamaduni na miundombinu ya miji ya Iran wakati wa Vita vya Ramadhani.
Habari ID: 3482140 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/04/13
IQNA – Bendera nyeusi iliyokuwa juu ya kuba tukufu ya Haramu ya Imam Ridha (AS) mjini Mashhad, kaskazini mashariki mwa Iran, imeondolewa na nafasi yake kuchukuliwa na bendera ya kijani.
Habari ID: 3482136 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/04/12
IQNA-Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Mojtaba Hosseini Khamenei, amesema kuwa watu wa Iran ni “washindi wa hakika” katika uwanja wa mapambano, akiongeza kwamba Iran haijawahi kutaka vita, lakini pia haitapuuza haki zake halali.
Habari ID: 3482133 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/04/10
Msomi wa Qur’ani Iraq
IQNA – Mwanazuoni na mhadhiri wa Kiiraq anayehusika na masomo ya Qur’ani amesisitiza athari chanya zilizotokana na kuuawa shahidi kwa Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Imam SayyidAli Khamenei, katika kuimarisha harakati za mapambano ya Kiislamu katika eneo la Mashariki ya Kati.
Habari ID: 3482132 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/04/09
IQNA-Hafla za kuadhimisha Arubaini ya Kiongozi Shahidi wa Mapinduzi, Imam Khamenei (Mwenyezi Mungu Amrehemu) zimefanyika Alhamisi hii kote Iran kwa kuwajumuisha mamilioni ya wananchi waombolezaji.
Habari ID: 3482129 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/04/09
IQNA – Kama ilivyo kwa baadhi ya mataifa mengine katika eneo la Asia Magharibi, wananchi wa Iraq wamejitokeza kusherehekea kile walichokitaja kuwa ushindi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran dhidi ya Marekani na utawala wa Kizayuni.
Habari ID: 3482128 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/04/08
IQNA-Baraza Kuu la Usalama wa Taifa limetoa taarifa kuhusu ushindi wa kihistoria wa Iran katika vita vya tatu vilivyolazimishwa dhidi yake, pamoja na kukubaliwa kwa masharti ya Iran na upande wa adui.
Habari ID: 3482126 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/04/08
IQNA – Baadhi ya wanazuoni na maqari mashuhuri wa Qur’ani Tukufu kutoka sehemu mbalimbali za ulimwengu wa Kiislamu katika siku za karibuni wametangaza msimamo wao wa kulaani vikali uvamizi ulioanzishwa na Marekani pamoja na utawala wa Kizayuni dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
Habari ID: 3482123 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/04/07
IQNA – Qari wa Qur’ani Tukufu kutoka Kuwait ameunga mkono shambulio vita haramu vya Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na kuibua hasira kubwa na ukosoaji kutoka kwa watumiaji wa mitandao ya kijamii.
Habari ID: 3482115 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/04/03
IQNA-Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) limetangaza kuwa limetungua ndege ya pili ya kisasa ya Marekani aina ya F-35 ikiwa katika anga katikati ya Iran kwa kutumia mfumo mpya wa ulinzi wa anga wa Kikosi cha Anga cha jeshi hilo.
Habari ID: 3482114 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/04/03
IQNA-Rais wa Iran, amehoji katika ujumbe aliouelekeza kwa wananchi wa Marekani kwamba: Vita vinavyoendelea sasa vinanufaisha vipi maslahi halisi ya watu wa Marekani? Amesisitiza kuwa mashambulio dhidi ya miundombinu muhimu ya Iran, ikiwemo vituo vya nishati na viwanda, ni hatua inayolenga moja kwa moja kuvuruga maisha ya watu wa Iran.
Habari ID: 3482113 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/04/02
IQNA – Kadiri vita vya kichokozi vya Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Iran vinavyoendelea, bendera ya rangi tatu ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imekuwa ishara ya wazi ya Muqawama au mapambano na ya iradaya pamoja ya wananchi, walioungana zaidi katika nyakati ngumu.
Habari ID: 3482112 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/04/01
IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Mojtaba Khamenei, ametoa shukrani kwa wanazuoni wa Kisuni katika Mkoa wa Kurdistan nchini Iran kufuatia ujumbe wao wa pole na mshikamano baada ya kuuawa shahidi aliyekuwa Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei.
Habari ID: 3482109 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/04/01
IQNA – Qari mashuhuri kutoka Pakistan, Mohammad Davoud, amejiunga na kampeni ya Qur’ani iitwayo “Kuelekea Fath (Ushindi) wa Utawala wa Faqihi Mtawala.”
Habari ID: 3482106 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/03/30
IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ameshukuru na kuthamini misimamo ya msingi ya wanazuoni wakuu wa kidini na wananchi wa Iraq.
Habari ID: 3482104 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/03/30
IQNA – Taasisi ya Qur’ani ya Yemen iitwayo “Noon” imeukosoa msimamo wa hivi karibuni wa Kituo cha Kiislamu cha Al‑Azhar cha Misri dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, ikisema kuwa unakinzana na wito wa Qur’ani Tukufu wa kusimama upande was haki na uadilifu.
Habari ID: 3482100 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/03/28