Tafsiri ya kwanza ya Qur’ani katika zama hizi nchini Algeria imechapishwa kwa anuani ya Ad Darul Thamin Fi Tafsir al Quran na imeandikwa na Allamah At-Tawati bin At-Tawati.
Habari ID: 3470228 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/04/05
Kikao cha kimataifa cha qiraa ya Qur'ani Tukufu imefanyika mjini Cape Town, Afrika Kusini na kuhudhuriwa na maqarii kutoka Misri, Iraq, Sudan na Malaysia.
Habari ID: 3328819 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/07/16
Algeria imetaka waandalizi wa Kombe la Soka la Dunia 2014 kuwapa nakala za Qur’ani wachezaji na maafisa wa timu yake ya taifa.
Habari ID: 1399941 Tarehe ya kuchapishwa : 2014/04/26
Abdul-Rahman Farih ndie mtu mwenye umri wa chini zaidi duniani kuhifadhi kilamilifu Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 1385230 Tarehe ya kuchapishwa : 2014/03/10