TEHRAN (IQNA)-Algeria imetangaza mpango wa kurekebisha mfumo wa usomeshaji Qur'ani katika shule za nchi hiyo kwa ushirikiano na wadau wa masuala ya kidini nchini humo.
Habari ID: 3470991 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/05/23
Mtaalamu wa Qur'ani kutoka Algeria
TEHRAN (IQNA)-Mtaalamu wa masuala ya Qur'ani kutoka Algeria amesema mashindano ya kimataifa ya Qur'ani ya Iran mwaka huu ni ya kipekee na ya aina yake duniani.
Habari ID: 3470949 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/04/24
IQNA: Algeria imesambaratisha mtandao wa kijasusi wa utawala wa Kizayuni wa Israel katika nchi hiyo ya Afrika Kaskazini.
Habari ID: 3470795 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/01/15
IQNA-Kongamano la Sita la Kimataifa la Qur'ani Tukufu limefunguliwa Disemba 3 katika Chuo Kikuu cha Kiislamu cha Abdul Qadir katika mji wa Constantine nchini Algeria.
Habari ID: 3470718 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/12/05
Tafsiri ya kwanza ya Qur’ani katika zama hizi nchini Algeria imechapishwa kwa anuani ya Ad Darul Thamin Fi Tafsir al Quran na imeandikwa na Allamah At-Tawati bin At-Tawati.
Habari ID: 3470228 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/04/05
Kikao cha kimataifa cha qiraa ya Qur'ani Tukufu imefanyika mjini Cape Town, Afrika Kusini na kuhudhuriwa na maqarii kutoka Misri, Iraq, Sudan na Malaysia.
Habari ID: 3328819 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/07/16
Algeria imetaka waandalizi wa Kombe la Soka la Dunia 2014 kuwapa nakala za Qur’ani wachezaji na maafisa wa timu yake ya taifa.
Habari ID: 1399941 Tarehe ya kuchapishwa : 2014/04/26
Abdul-Rahman Farih ndie mtu mwenye umri wa chini zaidi duniani kuhifadhi kilamilifu Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 1385230 Tarehe ya kuchapishwa : 2014/03/10