algeria

IQNA

IQNA – Programu ya Shule ya Majira ya Kiangazi ya Qur’ani kwa mwaka 2026 imezinduliwa nchini Algeria chini ya usimamizi wa Waziri wa Masuala ya Kidini na Wakfu (Awqaf) wa nchi hiyo.
Habari ID: 3482362   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/06/15

IQNA – Sheikh Hajj Muhannad Tayeb, msomi mashuhuri na mfasiri wa Qur’ani Tukufu nchini Algeria, amerejea kwa Mola wake siku ya Jumamosi.
Habari ID: 3482307   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/05/31

IQNA – Mushaf wa Rodossi ni nakala ya Qur’ani ya kihistoria nchini Algeria inayotambulika kama nukta muhimu katika uundwaji wa utambulisho wa dini na ustaarabu wa taifa hili.
Habari ID: 3482134   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/04/11

IQNA – Waziri wa Mambo ya Dini na Awqaf wa Algeria amewakabidhi wanazuoni wa Afrika nakala ya kihistoria ya Qur'ani Tukufu ijulikanayo kama “Rhodosi”, wakati wa kongamano lililofanyika nchini humo kuhusu diplomasia ya kidini.
Habari ID: 3481851   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/01/26

IQNA – Mashindano ya 21 ya Kimataifa ya Qur’ani nchini Algeria yameanza kwa ushiriki wa wawakilishi kutoka zaidi ya nchi 48.
Habari ID: 3481739   Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/30

IQNA – Kundi la wanafunzi Waalgeria wanaoishi nje ya nchi walisoma kwa pamoja aya za Surah Al-Kahf katika Msikiti Mkuu wa Algiers.
Habari ID: 3481727   Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/28

IQNA – Toleo la 21 la mashindano ya kitaifa ya Qur’ani Tukufu nchini Algeria limeanza rasmi Jumatatu.
Habari ID: 3481604   Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/02

IQNA-Msikiti Mkuu wa Algiers umetangaza utayari wa kupokea wanafunzi wa kimataifa wa shahada ya uzamivu (PhD) katika Shule ya Juu ya Sayansi za Kiislamu (Dar-ul-Quran).
Habari ID: 3481593   Tarehe ya kuchapishwa : 2025/11/30

IQNA – Mwanafalsafa kutoka Algeria amesema jamii za Kiislamu zinakabiliwa na mgogoro wa kimaadili unaotishia familia na kupotosha ufahamu wa Kiislamu kuhusu wanawake, maadili na uhalisia wa kisasa.
Habari ID: 3481533   Tarehe ya kuchapishwa : 2025/11/18

IQNA – Waziri wa Awqaf wa Algeria, Youssef Belmahdi, ametangaza kukamilika kwa kozi ya tatu ya mafunzo kwa majaji wa mashindano ya Qur’ani Tukufu nchini humo.
Habari ID: 3481457   Tarehe ya kuchapishwa : 2025/11/03

IQNA – Usajili umefunguliwa rasmi kwa toleo la 21 la Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu nchini Algeria, mojawapo ya mashindano yenye heshima kubwa katika kanda ya Afrika Kaskazini.
Habari ID: 3481414   Tarehe ya kuchapishwa : 2025/10/25

IQNA – Serikali ya Algeria imetangaza kuwa zaidi ya wanafunzi 900,000 wamejiandikisha katika shule za Qur’ani na Zawiya, ikieleza mafanikio makubwa katika mashindano ya kimataifa ya usomaji wa Qur’ani na juhudi zilizopanuliwa za kielimu.
Habari ID: 3481341   Tarehe ya kuchapishwa : 2025/10/08

IQNA – Waziri wa Wakfu na Masuala ya Dini wa Algeria amesisitiza umuhimu wa umakini mkubwa katika uchapishaji wa Qur’ani Tukufu.
Habari ID: 3481267   Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/22

IQNA – Wizara ya Mambo ya Kidini na Wakfu ya Algeria imetangaza kuwa shughuli za Wiki ya 27 ya Kitaifa ya Qur’ani zitaanza Jumatatu, Septemba 15, katika mkoa wa Boumerdes.
Habari ID: 3481224   Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/13

IQNA-Wizara ya Mambo ya Dini na Wakfu nchini Algeria imetangaza kuanzishwa kwa mashindano ya kimataifa kuhusu Sira au mfumo wa maisha ya Mtume Muhammad (SAW) kwa muktadha wa kuadhimisha kumbukumbu ya kuzaliwa kwa Mtume huyo wa Mwisho wa Mwenyezi Mungu.
Habari ID: 3481195   Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/07

IQNA – Mashindano ya kitaifa ya kuwania nafasi ya kushiriki katika Juma la 27 la Qur’ani Tukufu nchini Algeria yameanza leo Jumanne, kulingana na Wizara ya Mambo ya Kidini na Wakfu.
Habari ID: 3481140   Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/26

IQNA – Mpango wa kitaifa wa usomaji wa Qur’ani Tukufu umeanzishwa rasmi nchini Algeria, ukilenga kusambaza shughuli za Qur’ani katika misikiti mbalimbali ya Mkoa wa Mascara.
Habari ID: 3480943   Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/14

IQNA – Tamasha la 13 la Kimataifa la Kaligrafia ya Kiarabu nchini Algeria limefanyika katika mji wa al-Madiya, likiwa limejumuisha wanakaligrafia kutoka nchi mbalimbali za Kiislamu.
Habari ID: 3480700   Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/18

IQNA – Katika mkoa wa El Oued nchini Algeria, Sheikh al-Bashir Atili, mwalimu mkongwe wa Qur'ani katika Msikiti wa Tijaniyah mjini Bayadha, anaendelea kuhamasisha vizazi vipya vya wanafunzi kupitia mbinu ya kitamaduni ya kuhifadhi Qur'ani kwa njia ya diktei na kuandika kwa mkono.
Habari ID: 3480679   Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/13

IQNA – Sheikh Abdul Hadi L’Aqab, msomi mtajika wa Qur’ani kutoka Algeria, alifariki dunia Jumapili, Aprili 20, 2025.
Habari ID: 3480581   Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/22