IQNA – Mpango wa kitaifa wa usomaji wa Qur’ani Tukufu umeanzishwa rasmi nchini Algeria, ukilenga kusambaza shughuli za Qur’ani katika misikiti mbalimbali ya Mkoa wa Mascara.
Habari ID: 3480943 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/14
IQNA – Tamasha la 13 la Kimataifa la Kaligrafia ya Kiarabu nchini Algeria limefanyika katika mji wa al-Madiya, likiwa limejumuisha wanakaligrafia kutoka nchi mbalimbali za Kiislamu.
Habari ID: 3480700 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/18
IQNA – Katika mkoa wa El Oued nchini Algeria, Sheikh al-Bashir Atili, mwalimu mkongwe wa Qur'ani katika Msikiti wa Tijaniyah mjini Bayadha, anaendelea kuhamasisha vizazi vipya vya wanafunzi kupitia mbinu ya kitamaduni ya kuhifadhi Qur'ani kwa njia ya diktei na kuandika kwa mkono.
Habari ID: 3480679 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/13
IQNA – Sheikh Abdul Hadi L’Aqab, msomi mtajika wa Qur’ani kutoka Algeria, alifariki dunia Jumapili, Aprili 20, 2025.
Habari ID: 3480581 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/22
IQNA – Mtaalamu wa Sanaa ya kung'arisha (illumination) kutoka Algeria amesema Iran ndiyo mamlaka kuu juu ya sanaa za Kiislamu, akiongeza kuwa nchini Algeria, vitabu vingi vya sanaa vya Kiirani vinatumika kufundishia na kufanya mazoezi ya sanaa za mapambo.
Habari ID: 3480350 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/11
IQNA – Mkuu wa Msikiti wa Jamia wa Algiers amesema kuwa Kituo cha Dar-ul-Qur'an cha msikiti huo kiko tayari kupokea wanafunzi kutoka nchi jirani za Afrika.
Habari ID: 3480242 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/02/20
Mashindano ya Qur'ani
IQNA – Raundi ya mwisho ya mashindano ya 20 ya kimataifa ya Qur'ani ya Algeria yameanza katika sherehe katika mji mkuu Algiers siku ya Jumanne.
Habari ID: 3480093 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/01/22
Harakati za Qur'ani
IQNA – Waziri wa Wakfu Algeria amesema kuwa Qur'ani Tukufu kwa lugha ya ishara itatolewa kwa wale wenye ulemavu wa kusikia nchini humo.
Habari ID: 3480018 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/01/08
IQNA - Idara kadhaa za wakfu na masuala ya dini nchini Algeria zinafanya kazi ya kufungua tena shule za Qur'ani na Maktab (vituo vya jadi vya kusoma Qur’ani) wakati wa likizo za majira ya baridi ili kuruhusu wanafunzi kutumia muda huu kuhifadhi Qur'ani.
Habari ID: 3480014 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/01/06
IQNA - Waziri wa Masuala ya Dini na Wakfu wa Algeria amesisitiza mafanikio ya nchi hiyo katika sekta ya elimu ya Qur’ani.
Habari ID: 3480007 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/01/05
IQNA – Wanaume na wanawake mia tano waliohifadhi Qur’ani Tukufu kutoka mikoa mbalimbali ya Algeria wamekusanyika kufanya Khatm Qur’ani katika kikao kimoja kama sehemu ya mpango wa kitaifa wa Qur’ani. Khatm Qur’ani ni usomaji wa Qur’ani kutoka mwanzo hadi mwisho.
Habari ID: 3479982 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/31
IQNA - Mwanamke wa Algeria ambaye alijifunza Qur’ani Tukufu kwa moyo akiwa na ameaga dunia kutokana na saratani akiwa na umri wa miaka 75.
Habari ID: 3479456 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/19
Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Duru ya awali ya mashindano ya kitaifa ya Qur'ani ya Algeria imeanza kwa kushirikisha washiriki 225 wa kiume na wa kike.
Habari ID: 3479413 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/10
Msomi wa Qur'ani
IQNA - Ahmed al-Aimash (Laimeche) ni mtu mashuhuri nchini Algeria na ulimwengu wa Kiarabu kutokana na jukumu lake katika kukuza Uislamu na kuimarisha utambulisho wa kitamaduni wa Waarabu.
Habari ID: 3479391 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/07
Harakati za Qur'ani
IQNA - Wizara ya Wakfu na masuala ya Kiislamu ya Algeria inasema wasichana wa nchi hiyo wamekuwa wakifurahia sana kozi za Qur'ani Tukufu za msimu huu wa majira ya joto nchini humo..
Habari ID: 3479246 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/08
Michezo
IQNA-Judoka wa Algeria amekataa kushindana na mwakilishi wa utawala haramu wa Israel katika Michezo ya Olimpiki ya Paris 2024.
Habari ID: 3479201 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/07/30
Harakati za Qur'ani
IQNA - Waziri wa Wakfu wa Algeria amesema idadi kubwa ya wanafunzi wanajifunza Qur'ani katika vituo vya Qur'ani kote katika nchi hiyo kaskazini mwa Afrika.
Habari ID: 3478995 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/06/21
IQNA - Maafisa nchini Algeria wamezindua mpango wa kutafuta na kukusanya nakala za Qur'ani Tukufu ambazo zina makosa ya uchapishaji.
Habari ID: 3478849 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/05/19
Kadhia ya Palestina
IQNA - Picha za qari wa Algeria akisoma Qur'ani kwa ajili ya kuwaenzi watu wa Gaza zimesambaa katika mitandao ya kijamii.
Habari ID: 3478712 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/21
Mashindano ya Qur'ani Algeria
IQNA - Rais wa Algeria ameamuru kuongezwa kwa zawadi za fedha zinazotolewa kwa washindi wa mashindano ya Qur'ani nchini humo.
Habari ID: 3478682 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/14