TEHRAN (IQNA)- Wasomaji Qur’ani Tukufu kutoka Algeria ni miongoni mwa bora zaidi duniani.
Habari ID: 3473809 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/13
TEHRAN (IQNA)- Wanafunzi zaidi ya 185 wa Qur'ani Tukufu kutoka mikoa 26 ya Algeria ambao wamefanikiwa kuhifadhi Qur'ani katika mafunzo yaliyotolewa kwa njia ya intaneti wameenziwa katika sherehe iliyofanyika mjini Oran, kaskazini mashariki mwa nchi hiyo.
Habari ID: 3473676 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/02/23
TEHRAN (IQNA)- Algeria imefungua misikiti yote nchini humo baada kwa ajili ya sala za jamaa za kila siku na Sala ya Ijumaa.
Habari ID: 3473655 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/02/16
TEHRAN (IQNA) – Wizara ya Wakfu ya na Masuala ya Kidini Algeria imesema misikiti nchini humo ambayo ilifungwa kutokana na janga la COVID-19 sasa imeanza kutayarishwa kwa ajili ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3473627 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/02/06
TEHRAN (IQNA) - Makumi ya wabunge wa Algeria wameandaa muswada wa sheria inayolenga kuufanya kuwa ni uhalifu uanzishwaji wa uhusiano wowote wa kawaida na utawala wa Kizayuni wa Israel.
Habari ID: 3473536 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/01/08
TEHRAN (IQNA) – Serikali ya Algeria imeafiki kufunguliwa tena madrassah za Qur'ani Tukufu nchini humo ambazo zilikuwa zimesitisha shughuli zao kutokana na maambukizi ya ugonjwa wa COVID-19 au corona.
Habari ID: 3473514 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/01/01
TEHRAN (IQNA) – Jumuiya ya Wanazuoni wa Kiislamu Algeria imetoa wito wa kufunguliwa tena madrassah za Qur’ani nchini humo kwa kuzingatia kanuni za kiafya katika kipindi hiki cha janga la COVID-19 au corona.
Habari ID: 3473472 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/12/19
Tunisia imesema haina mpango wowote wa kuchukua uamuzi sawa na wa Morocco wa kuanzisha uhusiano na utawala bandia wa Israel.
Habari ID: 3473457 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/12/15
TEHRAN (IQNA)- Waziri Mkuu wa Algeria amekosoa hatua ya Morocco kuanzisha uhusiano na utawala wa Kizayuni wa Israel.
Habari ID: 3473450 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/12/12
TEHRAN (IQNA)- Wananchi wa Algeria wameunga mkono mabadiliko ya katiba katika kura ya maoni iliyofanyika Novemba mosi nchini humo.
Habari ID: 3473321 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/02
TEHRAN (IQNA) - Rais Abdelmadjid Tebboune wa Algeria amesisitiza kuwa, nchi yake inapinga vikali hatua zozote zile zenye lengo la kuanzisha uhusiano na utawala vamizi wa Israel unaotenda jinai kila leo dhidi ya wananchi madhulumu wa Palestina.
Habari ID: 3473190 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/21
TEHRAN (IQNA)- Msikiti wa Jamia wa Algiers, ni msikiti mkubwa zaidi barani Afrika na utafunguliwa Novemba.
Habari ID: 3473090 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/08/22
TEHRAN (IQNA) – Misikiti imefunguliwa tena nchini Algeria baada ya kufungwa kwa muda wa miezi mitano.
Habari ID: 3473074 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/08/16
TEHRAN (IQNA) – Wizara ya Wakfu ya Algeria imesema misikiti 4,000 nchini humo iko tayari kufunguliwa baada ya kutimiza masharti yanayotakiwa katika kipindi hiki cha janga la COVID-19 au corona.
Habari ID: 3473053 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/08/10
TEHRAN (IQNA)- Waziri Mkuu wa Algeria amekataa kuafiki mapendekezo ya kufungua misikiti nchini humo kutokana na hofu ya kuenea ugonjwa wa COVID-19 au corona nchini humo.
Habari ID: 3472918 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/01
TEHRAN (IQNA) – Qarii mashuhuri wa Qur’ani Tukufu kutoka Algeria, Sheikh Muhammad bin Sudaira hivi karibuni alisoma aya za Qur’ani Tukufu kuhusu Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3472740 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/05/06
TEHRAN (IQNA) – Wizara ya Masuala ya Kidini Algeria imetangaza kuwa, Qiraa ya Qur’ani Tukufu itasikika kupitia vipaza sauti vya misikiti yote nchini humo nusu saa kabla ya Adhana ya adhuhuri kwa lengo la kuibua hali ya kimaanawi na kudumisha utulivu wa kiroho wakati huu wa janga la COVID-19 au corona.
Habari ID: 3472642 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/04/07
TEHRAN (IQNA) – Algeria imesitisha sala za Ijumaa na kufunga misikiti yote nchini humo kwa kama ikiwa ni katika jitihada za kuzuia kuenea ugonjwa wa COVID-19 maarufu kama corona.
Habari ID: 3472582 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/03/19
TEHRAN (IQNA) – Mahakama nchini Algeria imewahukumu vifungo vya muda mrefu jela mawaziri wakuu wawili wa zamani wa nchi hiyo baada ya kupatikana na hatia ya kuhusika na ufisadi na ubadhirifu wa mali ya umma.
Habari ID: 3472266 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/12/10
Mgombea urais nchini Algeria amesema wote waliohifadhi Qur'ani Tukufu kikamilifu nchini humo watatunukiwa Shahada (digrii) ya Kwanza.
Habari ID: 3472260 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/12/07